Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
relax plz 🐒🤣🤣🤣unafiki at the highest degree
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
relax plz 🐒🤣🤣🤣unafiki at the highest degree
Slaa atasumbuliwa kisha atatoka.Mbwe is still a potential man, if he wishes he can continue! Unadhani Lisu atafanya nini? Mbona hajamtoa Slaa kama yeye ni alfa na omga kama anavyodai na wewe unavyodai. Sana sana ataishia jela and that will be the end of it
Ibeni kura lakini kazi haitakuwa rahisi. Chama kitadhoofika mfano wa CUF.Kundi la wanaharakati wa Lissu kila siku ni matamko na kuungana mkono huku kambi makini wao wapo wakiendelea kujipanga kuelekea tarehe 21st.
Uchaguzi ni number na si idadi ya matamko ya uugwaji mkono, afu mkipigwa muanze kulia lia oohh Mbowe kawaibia uchaguzi.
Mbowe ni 'Angela Merkel' wa Chadema...Hata Mugabe alikuwa anataka kuachia madaraka lakini wapambe nuksi hawakumruhusu walimlazimisha aendelee kwa gharama yoyote ile.
Naona Mbowe naye kawa Mugabe.
Acha kumfananisha Angela Merkel na mtu ambaye anashindwa hata kujieleza kwa mantiki anaishia kusema "mimi tajiri..."Mbowe ni 'Angela Merkel' wa Chadema...
Sio kwa mtu kama Lema kwa sasa, kwani bado hajakengeukaFomula isiyokuwepo ni kuthibitisha kuwa unasema kweli kwa kuombea wanao na mke wafe kama si kweli.
Binadamu ni binadamuSio kwa mtu kama Lema kwa sasa, kwani bado hajakengeuka
Ni kweli katika huohuo ubinadamu wapo wacha Mungu kama wewe, ndio maana nikasema bado hajakengeuka.Binadamu ni binadamu