Pre GE2025 Godbless Lema: Namuomba Mbowe apumzike, amuachie Lissu afanye kazi ya Uenyekiti CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huwa watu mnawezaje kua wanafiki?? Yaan unakuja kuaje.

Mfano, Yote Lema aloongea, lkn wewe unatoka kusema, Watu walitaka kumng'oa Mbowe?.


Huwa ni Ujinga na matope ndio yamejaa kichwan au
 
Ni kweli Machame kuna huo upumbavu, na hata Kibosho pia
 
alimshindaje bila mdomo
 
Leo stroke umenena
 
Lema ni msaliti. Huyu ni mchaga aliyelogwa na mnyampaa
Kwa hiyo wewe akili ndogo na chawa wa Samia unataka Lema amuunge mkono Mbowe kisa ni mchagga. Wewe angalia ya chama chenu hicho ambacho mwenyekiti ni mfalme ambaye anapitishwa kwa shangwe na nderemo na machawa wake. Bure kabisa.
 
Mwenyekiti Freeman Mbowe,azingatie sana ushauri huu wa Lema,huyu sasa ni nabii na ushauri huu ni ushauri wa kinabii!
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…