Yeye ndio anajivunjia Heshima kwa kutokusoma alama Za Nyakati, Mjadala wa JPM tu kutaka Kuongeza terms kwenye ofisi mlipiga kelele kweli kweli leo mbowe amekuwa chairman for 21 Yrs bado mnataka tu aendelee, Kwa nafasi yake pia anaona akiwa challenged na Mgombes yoyote anaona ni Kuvunjiwa heshima mana miaka yote amekuwa kama Mgombea pekee tu na kufanyia Figisu wenzie refer issue za Kina Chacha Wangwe na Zito,
Sasa leo amepata Opponent ndio analeta story za Kuvunjiwa heshima apambane na Platform hio na alichosema leo Lema hakijavunja Katiba ya chama ni maoni yake na kama Mwanachama ni haki yake kutangaza mgombea anayetaka