Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
Ulikuwa unataka kumaanisha nini?Typing error
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikuwa unataka kumaanisha nini?Typing error
Sasa wasipotaja ushahidi unakuaje? Inatakiwa wataje na chanzo kisha chanzo kije kukanusha. Au kikashtak. Hii ya kusema nilisikia nliambiwa na mtu ambaye siwezi mtaja....ni utapeli.Wananishangazaga hapo tu wanapotaja mpk chanzo hbr alipoipata!! " ........ Niliambiwa na ......"😂😂
Tutamsitiri. Sisi CCM hatutaki mwingine. Mbowe mwamba anatoshaMwamba anavuliwa nguo uchi wa mnyama
kwani kila mtu lazima awe kiongozi?Hahaaa. Lema kashajipotezea kila. Ubunge hayumo, uongozi hayumo, kabaki baking tu
akili za kuambiwa changanya na zako lema,
kiburi na kukariri mambo kimekufanya ukataliwe arusha![]()
Lema unaongea bila ushahidiLeo Ndugu Lema kafunguka mengi sana kuhusu hali ya kisiasa nchini. Miongoni mwa aliyoyazungumza leo ni kuwa katika watu hatari kwa mustakbali wa CHADEMA ni Wenje.
Amesema kipindi Wenje kachukua fomu ya umakamu mwenyenyekiti alijaribu kumconsult Wenje kuhusu jambo hilo na kumshauri asitishe press conference yake aliyokuwa ameipanga kutangaza jambo hilo akihofia kuwa upepo wa kisiasa kwa wakati huo haukuwa mzuri. Alipojaribu kupigia simu Mbowe ili amshauri Wenje asitishe press hiyo, Mbowe akampiga danadana, alipompigia Boni Yai ili naye amshauri Mbowe aexert influence yake kwa Mbowe kutojana na ukaribu wao wa siku hizi Boni Yai akasema kuwa Wenje ni project ya serikali.
Wakati huohuo Lema akasema kuwa ulikuwepo mpango mkakati wa kuondoa Icons na watu influential kutoka ktk ranks za uongozi ndani ya chama. Miongini mwa walengwa walikuwa ni pamoja na Heche, Yeye, Msigwa na Lissu.
Kifo cha mende. Ndembe ndembeKama kummaliza Mbowe, Lema leo amefanikiwa.
Mbowe ndiye Yuda Iskarioti, mwizi, dhalimu na aliyekiuza chama kwa Samia na Abdul. WASALITI HAO.Mwamba kama anausika kwa vyovyote kwenye damu za wanachama wa CHADEMA atalipa
Ni wakati wa CHAUMA sasaWatageuka kuwa kama NCCR na TLP , even CUF when walipofanikiwa kupenyeza watu wao. Wamefanya hiv kwenye taasis nyingi si tu za siasa, lengo ni kudhoofisha na ku control
Kama wa Lisu wa kusema aliambiwa na marehemu. Au kipimo hicho hakimhusu Lisu?Sasa wasipotaja ushahidi unakuaje? Inatakiwa wataje na chanzo kisha chanzo kije kukanusha. Au kikashtak. Hii ya kusema nilisikia nliambiwa na mtu ambaye siwezi mtaja....ni utapeli.
Siku kikiwa seriousNi wakati wa CHAUMA sasa
agombea wapi wakati alianza kukataliwa kitambo sana akiwa kiongozi wa kuchaguliwaAmegombea kitu gani na kukataliwa? Machawa mnawaza ujinga tu
kwani kila mtu lazima awe kiongozi?
eti leo chawa wa ccm ndio wapiga debe wa sultani Mbowe

Alaaniwe Sultan Mbowe na nyumbu wake woteMbowe ndiye Yuda Iskarioti, mwizi, Adhalimu na aliyekiuza chama kwa Samia na Abdul. WASALITI HAO.