Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Aiseehh wewe ni O:verpopoma!!GOOD TEAM WORK YA CCM IMEKABA, HAWAHEMI HAWAPUMUI, πππ
""LEMA asepa, asema toka Makonda aingie arusha kama mkuu wa mkoa chadema imekufa, amebainisha ni heri awache siasa na ashughulike na mambo mengine ya kumuingizia kipato halali ""
Siku hizi neno "mkuu" linatumika vibaya mkuu!Tuwekee hapa hilo sharti mkuu
HEbu Nionyeshe niliposema Kuwa "Tatizo kubwa la Chama Lipo kwenye Post no 1"Nikikuita wewe ni zwazwa, kilaza na mfitini nitakuwa nimekosea!!??
Kwa mujibu wako ni kuwa tatizo kubwa la chama lipo kwenye uzi wako wa post namba moja, sasa inakuwaje jibu liwe kwenye maelezo mengine!!???
Hebu jipige makofi huku ukijiambiaa, " hakika mimi DR Mambo Jambo ni zwazwa kubwa".
Hakuna kitu kama hicho, hauwezi kurudi katika nchi uliyoikimbia kama status yako ni mkimbizi then uendelee na ukimbizi wako. Hilo linawezekana kama status imebadilika kwa mfano kama umepewa citizenship na unatumia passport ya nchi hiyo iliyokupatia citizenship.Kwhy unaweza kupewa hadhi ya ukimbizi, halafu baada ya muda ukarudi nchi ukiyokimbia ukaishi, baada ya muda tena ukarudi uhamishoni kuendelea na ukimbizi wako.??
Congo kuna maeneo yanaitwa kasai, kivu na Ituri nenda katembelee huko ukirudi utakua umeacha madeko ya kujiliza mtandaoni na kusema Tz siyo sehem salama, Tz mnalelewa kama nyanya unaanza chekechea hadi university hujaskia sauti ya risasi alafu unasema hauko sehem salama?Mpaka yakukute.
Hebu nenda kaiambie Familia ya Marehemu Mzee Ally Kibao huo upuuzi uone kama utarudi na hiyo sura.Congo kuna maeneo yanaitwa kasai, kivu na Ituri nenda katembelee huko ukirudi utakua umeacha madeko ya kujiliza mtandaoni na kusema Tz siyo sehem salama, Tz mnalelewa kama nyanya unaanza chekechea hadi university hujaskia sauti ya risasi alafu unasema hauko sehem salama?
NimeshawaambiaHebu nenda kaiambie Familia ya Marehemu Mzee Ally Kibao huo upuuzi uone kama utarudi na hiyo sura.
Au akaiambie familia ya Ben Saanane au akameambie Lissu.Hebu nenda kaiambie Familia ya Marehemu Mzee Ally Kibao huo upuuzi uone kama utarudi na hiyo sura.
Tanzania hakuna amani labda kwa Mazezeta ya CCM.Nimeshawaambia
Unafahamu Maneno anayotukana NTOBI mitandaoni anavyomtukana TAL/TL Kaagizwa na Mwenyekiti?Nikikuita wewe ni zwazwa, kilaza na mfitini nitakuwa nimekosea!!??
Kwa mujibu wako ni kuwa tatizo kubwa la chama lipo kwenye uzi wako wa post namba moja, sasa inakuwaje jibu liwe kwenye maelezo mengine!!???
Hebu jipige makofi huku ukijiambiaa, " hakika mimi DR Mambo Jambo ni zwazwa kubwa".
Huyu ntobi kafanya makosa makubwa sanaManeno Hayo Ameyasema Aliyekuwa Kiongozi wa Kanda ya Kaskazini Mheshimiwa Godbless lema..
Baada ya Kuandila Barua Katika Ukurasa wa Twitter Yenye Messeji kali Sana na Ya Kuhuzunisha na Ikionyesha Kuna TATIZO KUBWA kwenye Chama..
NANUKUU:-
Amani Katibu wetu wa Kanda , naomba nisomee ujumbe huu kwa viongozi wenzangu katika mkutano huu wa Kanda ambao utaitimisha nafasi yangu kama Mkti wa Kanda leo hapa Arusha.
Waheshimiwa Viongozi Tanga , Manyara,Kilimanjaro na Arusha , ninasikitika kwamba sitaweza kuwa nanyi ktk mkutano wa leo muhimu sana ktk chama chetu Kanda ya Kaskazini. Nilisafiri kuja kumuona mke wangu mpendwa na watoto na kupumzisha akili yangu kidogo kwani niliona ninapaswa kufanya hivyo kwa ajili ya amani kubwa ya moyo wangu.
Leo mtachagua Kiongozi wa Kanda yetu ya Kaskazini na kama ningekuwepo ningepiga kura lakini bahati mbaya sitaweza kupiga kura wala kuwasikiliza lakini kama naweza kupiga kura kidgitali pls nitafurahi kufanya hivyo , hata hivyo ninakiri kuona na kusikia majina ya wagombea wote mliomba nafasi ktk uchaguzi huu , sina maoni yoyote kwa wakati huu , japo kuwa najua nani ningempa kura kama ningekuwa hapo na nani asingestahili kwa upande wangu.
Nimekuwa kwenye kazi ya harakati kwa miaka zaidi ya ishirini , sijawahi ku fake the struggle na niko commited very seriously , kwani nimezika na kuuguza rafiki zangu wengi kwa ajili ya wajibu mwema wa kupigania haki na ustawi wa Nchi yetu , hivyo najali sana uadilifu wa kazi hii , lakinj pia nimepigwa kwa ajili yake , nimekwenda Polisi na Mahabusu na mahakamani mara nyingi sana na pia kuishi ktk upweke na majonzi mara nyingi sana kwa ajili ya wajibu huu mkuu lakini sijawahi kujuta kwani naona ili ni kusudi muhimu ktk maisha yangu na yetu wote.
Nafahamu Mimi sio Malaika naelewa ninaweza kuwa nimewaumiza au kuwakwaza watu wengi miongoni mwenu lakini ninaweza kula kiapo kwa mauti ya familia yangu kuwa sijawahi hata siku moja kuwaza hila juu ya mmoja wenu zaidi ya kujali pengine ubora na mkakati ktk kuimarisha kazi hii muhimu ambapo wkt mwingine imeleta mtafaruku mkubwa miongoni mwetu.
Viongozi mtakao chaguliwa leo , lindeni sana nidhamu ya Kanda yetu , Mwenyekiti mwingine na Kiongozi yoyote wa ngazi yoyote asitukanwe wala kudhalishwa kwa maana matusi na dhihaka zinaua sana morali ya kuwajibika. Pengine ni udhaifu kukimbia changamoto lakini vile vile ni hekima kuwaonyesha rafiki zako na maadui zako kuwa Leadership is not a Title, ili sote tujue kwamba kazi yetu ni utumishi na sio prestige.
Ninawatakia kila la heri ktk uchaguzi wenu , mfanye kwa amani na upendo kila mtu ajue kuwa ashindani na shetani isipokuwa rafiki zetu miongoni mwetu.
Namalizia kwa kusema maazimio yetu kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ni β No reforms No Election βMaana yake ni kuzikana nafsi zetu kwa ajili ya kesho bora , hivyo baai mnahitaji Kiongozi atakaye waongoza ktk wajibu huu mkuu .Mkiwa Arusha siku zote tambueni kuwa mna ndugu yenu ktk FIKRA na WAJIBU MWEMA.
Naomba nimalizie kwa kusema maneno Haya , Amani Golugwa wewe ni best Katibu na a very good humble brother , Mungu akubariki sana. Mungu atakuinua siku moja zaidi na zaidi.
View attachment 3180467View attachment 3180468View attachment 3180469
View attachment 3180608
#Godbless Lema..#X
Una matatizo ya uelewa finyu na kutoweza kujenga hoja.Unafahamu Maneno anayotukana NTOBI mitandaoni anavyomtukana TAL/TL Kaagizwa na Mwenyekiti?
View attachment 3180609
View attachment 3180614
Siku Nyingije usiwe Unabusha Kitu usichokijua Sasa Niambie Hapo anayesema Ana Emotional Kidogo ni nani??
MMEANZA KUNYOOKA MAKONDA TU KAANZA KUWAKIMBIZA NA BADOOONamalizia kwa kusema maazimio yetu kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ni β No reforms No Election βMaana yake ni kuzikana nafsi zetu kwa ajili ya kesho bora , hivyo baai mnahitaji Kiongozi atakaye waongoza ktk wajibu huu mkuu .Mkiwa Arusha siku zote tambueni kuwa mna ndugu yenu ktk FIKRA na WAJIBU MWEMA.βπΎ
AMEANZA KUNYOOKAGOOD TEAM WORK YA CCM IMEKABA, HAWAHEMI HAWAPUMUI, πππ
""LEMA asepa, asema toka Makonda aingie arusha kama mkuu wa mkoa chadema imekufa, amebainisha ni heri awache siasa na ashughulike na mambo mengine ya kumuingizia kipato halali ""