Godbless Lema: Ningekuwa Rais nchi hii ningeondoa Hotel zote porini

Godbless Lema: Ningekuwa Rais nchi hii ningeondoa Hotel zote porini

ngorongoro iko overrated sana, kwanza wakati wa ukoloni wa Ujerumani (waanzilishi wa nchi yetu) walipanga kuwaleta boers (makaburu) ktk south afrika waje kusettle kwenye crater na kufanya ufugaji na kilimo vita kuu ikaingilia kati bila ya hivyo leo hii hiyo crater ingekuwa kama western cape au switzerland vile kwa maendeleo, tungekuwa tunaongoza kutengeneza na kuuza cheese, dairy products na chocolates za kufa mtu …
Ungeweza Bei yake?
 
HUYO MWEHU TUH KAMA WEHU WENGINE,AMWAMBIE MWENYEKITI WAKE WA KUDUMU HAPO CHAGADEMA AWAONDOE KWANZA COVID-19 PALE BUNGENI KAMA ANAWEZA.
 
ngorongoro ni bonge moja la valley lenye rutuba ya kufa mtu na mazingira mazuri na yenye kufaa kwa ufugaji ndiyo maana wajerumani na makaburu (boers) walitaka kusettle na kufanya kama walivyofanya western cape au uswisi, lkn mzungu alipoondoka akatenga eneo looote kama hifadhi anamwambia mwafrika haruhusiwi kutumia valleys ni hifadhi, hata wamasai wanafurumushwa na mzungu siyo samia au serikali ya tanzania, hao ni vibaraka tu btw ngorongoro hifadhi ni almost 10 000 sqkm yote hifadhi tu hapo hapo serengeti inakula 50 000 sqkm hifadhi bado sehemu nyingine za nchi …
Kawadange bavicha wenzako.
 
Huyo wa kuchagua lema kuwa rais si lazima atakuwa kichaa? Au anadhani watanzania wote ni hamnazo kama yeye mpaka tumchague kuwa rais ?!
Kama Samia ameweza kuwa rais wa nchi, Lema si anaweza kuwa rais wa dunia? CCM wametuweza kweli kweli leo tunajikuta kibibi kama hiki eti rais. Kichwani ni kweupe pee, ninawaza mambo ya sherehe muda wote. Ngoja tu kama niliyosikia ni kweli basi 2025 hakitoboi.
 
Rais ana mamlaka ya kuondoa hoteli popite zilipo?
Kwa Tanzania, NDIO ana mamlaka. Ni wapi ambapo Rais hana mamlaka ya kuamua katika nchi hii? Kama mpaka Majaji na jaji Mkuu ambaye yupo kwenye Muhimili tofauti anamteua yeye
 
Kwa hiyo uchumi unaendeshwa kwa kuuza nchi kidogo kidogo mwishowe utajiuza wewe mwenyewe kama sio chumba unacho lalia
WHataboutism hazisaidii hapa.Lema amesema hoteli zote ziondolewe mbugani, hizo hoteli wameuziwa na mbuga au wana leseni ya ku-operate hapo? Unachanganya mafaili au uzee ushakukaribia kolo ww
 
ngorongoro ni bonge moja la valley lenye rutuba ya kufa mtu na mazingira mazuri na yenye kufaa kwa ufugaji ndiyo maana wajerumani na makaburu (boers) walitaka kusettle na kufanya kama walivyofanya western cape au uswisi, lkn mzungu alipoondoka akatenga eneo looote kama hifadhi anamwambia mwafrika haruhusiwi kutumia valleys ni hifadhi, hata wamasai wanafurumushwa na mzungu siyo samia au serikali ya tanzania, hao ni vibaraka tu btw ngorongoro hifadhi ni almost 10 000 sqkm yote hifadhi tu hapo hapo serengeti inakula 50 000 sqkm hifadhi bado sehemu nyingine za nchi …
Unawapa za ndani sana na hawataki kukuelewa. Haha
 
WHataboutism hazisaidii hapa.Lema amesema hoteli zote ziondolewe mbugani, hizo hoteli wameuziwa na mbuga au wana leseni ya ku-operate hapo? Unachanganya mafaili au uzee ushakukaribia kolo ww
Sheria na taratibu zinawekwa Kwa sababu, kama kuweka bar mashuleni au hospitalini, ukasema sio mahali pake, ikiwa kuweka hotel huko kuna haribu mazingira au njia za wanyama, basi tufuate taratibu. Bila kujali hayo mambo ya uchumi. Kuna mambo mangapi tunaambiwa sivyo sababu ya mambo ya mazingira. Tumia akili yako Kwanza kabla hujawa kolo
 
ngorongoro iko overrated sana, kwanza wakati wa ukoloni wa Ujerumani (waanzilishi wa nchi yetu) walipanga kuwaleta boers (makaburu) ktk south afrika waje kusettle kwenye crater na kufanya ufugaji na kilimo vita kuu ikaingilia kati bila ya hivyo leo hii hiyo crater ingekuwa kama western cape au switzerland vile kwa maendeleo, tungekuwa tunaongoza kutengeneza na kuuza cheese, dairy products na chocolates za kufa mtu …
Kwa akili yako unadhani kila mpango wa Wajerumani ulikuwa sahihi?
 
bila kujua historia hauwezi kuelewa ulipo na unapoenda, mambo mengi sana mnadanganywa kwa sababu hamuijui historia, karibia 1/4 nzima ya tanzagiza ni hifadhi kwa nini? Mzungu angekuwa anatwala leo hii asingeruhusu huo ujinga …
Acha kukaririshwa ujinga, umesoma kitabu gani cha historia?
 
Back
Top Bottom