Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Tumewachangamsha kweli kweli 😊Ila kuwazingua wamasai halafu kusawazisha sio utumbo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumewachangamsha kweli kweli 😊Ila kuwazingua wamasai halafu kusawazisha sio utumbo?
"Tanzania tuna wasomi wajinga sana!Hivi huko CCM na serikalini kuna watu kweli au robots wamepandikizwa kufikiri kwa niaba ya Watanzania!
Ungeweza Bei yake?ngorongoro iko overrated sana, kwanza wakati wa ukoloni wa Ujerumani (waanzilishi wa nchi yetu) walipanga kuwaleta boers (makaburu) ktk south afrika waje kusettle kwenye crater na kufanya ufugaji na kilimo vita kuu ikaingilia kati bila ya hivyo leo hii hiyo crater ingekuwa kama western cape au switzerland vile kwa maendeleo, tungekuwa tunaongoza kutengeneza na kuuza cheese, dairy products na chocolates za kufa mtu …
Sikujuwa uwezo wa akili uko hapo.Huyo wa kuchagua lema kuwa rais si lazima atakuwa kichaa? Au anadhani watanzania wote ni hamnazo kama yeye mpaka tumchague kuwa rais ?!
Wanakuzoom tuHivi huko CCM na serikalini kuna watu kweli au robots wamepandikizwa kufikiri kwa niaba ya Watanzania!
CHADEMA WAFUASI NI WENDAWAZIMU KAMA WAFUASI WA KIBWETERE AU YULE MCHUNGAJI MAKENZIE WA KENYA ALIOWAUA WAFUASI WAKE KWA NJAA ILI WAENDE PEPONI KUMUONA YESU KRISTOChadema bana, jinsi walivyo, kila utumbo wa kiongozi wao lazima wauone ni ujumbe safi kabisa l
Kawadange bavicha wenzako.ngorongoro ni bonge moja la valley lenye rutuba ya kufa mtu na mazingira mazuri na yenye kufaa kwa ufugaji ndiyo maana wajerumani na makaburu (boers) walitaka kusettle na kufanya kama walivyofanya western cape au uswisi, lkn mzungu alipoondoka akatenga eneo looote kama hifadhi anamwambia mwafrika haruhusiwi kutumia valleys ni hifadhi, hata wamasai wanafurumushwa na mzungu siyo samia au serikali ya tanzania, hao ni vibaraka tu btw ngorongoro hifadhi ni almost 10 000 sqkm yote hifadhi tu hapo hapo serengeti inakula 50 000 sqkm hifadhi bado sehemu nyingine za nchi …
Amepataje mamlaka ya kufuta vijiji?Rais ana mamlaka ya kuondoa hoteli popite zilipo?
Unajifanya hujui nguvu za rais wa Tanzania? Hata akiamua kulala na mke au mume wa mtu huna cha kumfanya!Rais ana mamlaka ya kuondoa hoteli popite zilipo?
Kwa hiyo uchumi unaendeshwa kwa kuuza nchi kidogo kidogo mwishowe utajiuza wewe mwenyewe kama sio chumba unacho laliaSAsa hapa Chadema ndio wanapobugi, unadhani huu uchumi unaendeshwa kwa sigara na pombe?
Kama Samia ameweza kuwa rais wa nchi, Lema si anaweza kuwa rais wa dunia? CCM wametuweza kweli kweli leo tunajikuta kibibi kama hiki eti rais. Kichwani ni kweupe pee, ninawaza mambo ya sherehe muda wote. Ngoja tu kama niliyosikia ni kweli basi 2025 hakitoboi.Huyo wa kuchagua lema kuwa rais si lazima atakuwa kichaa? Au anadhani watanzania wote ni hamnazo kama yeye mpaka tumchague kuwa rais ?!
Kwa Tanzania, NDIO ana mamlaka. Ni wapi ambapo Rais hana mamlaka ya kuamua katika nchi hii? Kama mpaka Majaji na jaji Mkuu ambaye yupo kwenye Muhimili tofauti anamteua yeyeRais ana mamlaka ya kuondoa hoteli popite zilipo?
WHataboutism hazisaidii hapa.Lema amesema hoteli zote ziondolewe mbugani, hizo hoteli wameuziwa na mbuga au wana leseni ya ku-operate hapo? Unachanganya mafaili au uzee ushakukaribia kolo wwKwa hiyo uchumi unaendeshwa kwa kuuza nchi kidogo kidogo mwishowe utajiuza wewe mwenyewe kama sio chumba unacho lalia
Unawapa za ndani sana na hawataki kukuelewa. Hahangorongoro ni bonge moja la valley lenye rutuba ya kufa mtu na mazingira mazuri na yenye kufaa kwa ufugaji ndiyo maana wajerumani na makaburu (boers) walitaka kusettle na kufanya kama walivyofanya western cape au uswisi, lkn mzungu alipoondoka akatenga eneo looote kama hifadhi anamwambia mwafrika haruhusiwi kutumia valleys ni hifadhi, hata wamasai wanafurumushwa na mzungu siyo samia au serikali ya tanzania, hao ni vibaraka tu btw ngorongoro hifadhi ni almost 10 000 sqkm yote hifadhi tu hapo hapo serengeti inakula 50 000 sqkm hifadhi bado sehemu nyingine za nchi …
Sheria na taratibu zinawekwa Kwa sababu, kama kuweka bar mashuleni au hospitalini, ukasema sio mahali pake, ikiwa kuweka hotel huko kuna haribu mazingira au njia za wanyama, basi tufuate taratibu. Bila kujali hayo mambo ya uchumi. Kuna mambo mangapi tunaambiwa sivyo sababu ya mambo ya mazingira. Tumia akili yako Kwanza kabla hujawa koloWHataboutism hazisaidii hapa.Lema amesema hoteli zote ziondolewe mbugani, hizo hoteli wameuziwa na mbuga au wana leseni ya ku-operate hapo? Unachanganya mafaili au uzee ushakukaribia kolo ww
Kwa akili yako unadhani kila mpango wa Wajerumani ulikuwa sahihi?ngorongoro iko overrated sana, kwanza wakati wa ukoloni wa Ujerumani (waanzilishi wa nchi yetu) walipanga kuwaleta boers (makaburu) ktk south afrika waje kusettle kwenye crater na kufanya ufugaji na kilimo vita kuu ikaingilia kati bila ya hivyo leo hii hiyo crater ingekuwa kama western cape au switzerland vile kwa maendeleo, tungekuwa tunaongoza kutengeneza na kuuza cheese, dairy products na chocolates za kufa mtu …
Acha kukaririshwa ujinga, umesoma kitabu gani cha historia?bila kujua historia hauwezi kuelewa ulipo na unapoenda, mambo mengi sana mnadanganywa kwa sababu hamuijui historia, karibia 1/4 nzima ya tanzagiza ni hifadhi kwa nini? Mzungu angekuwa anatwala leo hii asingeruhusu huo ujinga …