Godbless Lema: Nitaongea na wanahabari kesho kujibu mapigo ya Wenje na genge lake

Godbless Lema: Nitaongea na wanahabari kesho kujibu mapigo ya Wenje na genge lake

Mbangaizaji wa Taifa

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
493
Reaction score
844
IMG-20250116-WA0087.jpg

IMG-20250116-WA0252.jpg

IMG-20250116-WA0253.jpg


===
Hiki ndicho alichokiandika Godbless Lemma baada ya Press Release ya Ezekiah Wenje.

Hii inaitwa Jino kwa Jino.

Pia soma
 
Mkuu Mbangaizaji wa Taifa, kwanini unakuwa muongo kiasi hiki? Wewe ni mmoja wa viwanda vya uongo hapa nchini? Kichwa chako cha habari unasema:

Godbless Lemma: Nitaongea na wanahabari kesho kujibu mapigo ya Wenje na genge lake​


Sasa, wapi kwenye taarifa ya Lema amesema ulivyoandika kwenye kichwa chako cha habari? Wapi amesema anataka kujibu maigo? Wapi amemtaja Wenje? Uongo ni dhambi ujue...
 
Huyo Mngeze lema atulize matacle yake sio Kila saa kuropoka tu na kubweka kama Ng'ombe jike aliye Kosa dudu!
Mbowe kamsaidia sana Ila Tangu atoke 🍁 mdomo hautulii Ana wivu na pesa za mwenyekiti
Lema maandazi kweli Heri mtori kuliko Huyo jamaa
 
Mkuu Mbangaizaji wa Taifa, kwanini unakuwa muongo kiasi hiki? Wewe ni mmoja wa viwanda vya uongo hapa nchini? Kichwa chako cha habari unasema:

Godbless Lemma: Nitaongea na wanahabari kesho kujibu mapigo ya Wenje na genge lake​


Sasa, wapi kwenye taarifa ya Lema amesema ulivyoandika kwenye kichwa chako cha habari? Wapi amesema anataka kujibu maigo? Wapi amemtaja Wenje? Uongo ni dhambi ujue...
Wewe umeshawahi.kuwa mwandishi wa habari?
 
Safi Lema.

Lema alionya juzi kwamba machawa wa mbowe wakimjibu tu ataitisha press amfyatue Mbowe vizuri.

Msigwa pia amesema ataitisha press conference soon na ushahidi wa kutosha kuhusu Wenje na Mbowe.

Yaani wanapiga kwenye mshono.
 
Back
Top Bottom