BonventureSr
JF-Expert Member
- Nov 16, 2023
- 879
- 1,432
Sasa hizi ni Tabia za kike nmafanya chadema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ukweli ujulikane, unafiki na maovu kufichwa vipo ccm tuMsituchoshe kusikiliza ujinga wenu kila siku. Kwa haya yanaoyoendelea kwa chama hiki ni bora kusiwe na chama cha upinzani mrudi tu kwenye zile zama za giza nene
.
Inasaidia nini kwenye box la kura?ANGALIA NA HII PIA
Lema out chadema na kundi lakoView attachment 3203510
Hiki ndicho alichokiandika Godbless Lemma baada ya Press Release ya Ezekiah Wenje
Zitapoteza maana..Press zimekuwa nyingi
Ova
Hujalazimishwa kusikiliza unaona hayana maana kwako potezea tu.Msituchoshe kusikiliza ujinga wenu kila siku. Kwa haya yanaoyoendelea kwa chama hiki ni bora kusiwe na chama cha upinzani mrudi tu kwenye zile zama za giza nene
.
Nyumbu wa Sultan Mbowe tulizeni vishundu mumeyataka wenyewe,yeye huyo dalali wa kijaluo nani hata asijibiwe?Huyo Mngeze lema atulize matacle yake sio Kila saa kuropoka tu na kubweka kama Ng'ombe jike aliye Kosa dudu!
Mbowe kamsaidia sana Ila Tangu atoke 🍁 mdomo hautulii Ana wivu na pesa za mwenyekiti
Lema maandazi kweli Heri mtori kuliko Huyo jamaa
Huyu Lema ujinga tuView attachment 3203510
Hiki ndicho alichokiandika Godbless Lemma baada ya Press Release ya Ezekiah Wenje
Na wewe kafie mbali na. ACT Wazalendo yako inayongojea kuokota dodo chini ya mbuyu.Lema out chadema na kundi lako
Halafu eti Watz wakipe chama hiki kuendesha nchi kweli!!? Utoto mwingi sana.Sasa hizi ni Tabia za kike nmafanya chadema.
Utoto wa namna hii pelekeni huko huko kwenye Saccos yenu. Ndio maana Mzee Duni Mgombea Mwenza wa Lissu 2020 alisema Chadema kila mtu ni kambale na kweli imedhihirika mwaka huu. Kuwapa nchi muongoze msahau kabisaaa!!Sisi Wananchi wa Tanzania tunataka style hii ya siasa kutoka CHADEMA waongee kwa UWAZI na UKWELI halafu watuachie sisi WANANCHI tuamue.
Sio Siasa za GIZANI za CCM kufichaficha hata pale CAG naposema fedha zimeporwa halafu CCM wanafichaficha na kiwasahaulisha Wananchi.
Nahisi CCM wanawachezeshwa kibao kata na hizi press za Chadema😂😂Halafu eti Watz wakipe chama hiki kuendesha nchi kweli!!? Utoto mwingi sana.
Hebu waulizeni Wananchi ni style gani wanaitaka hii ya CHADEMA ya UWAZI na UKWELI, au style ya CCM ya mambo GIZANI halafu muone Wananchi wanataka nini?Utoto wa namna hii pelekeni huko huko kwenye Saccos yenu. Ndio maana Mzee Duni Mgombea Mwenza wa Lissu 2020 alisema Chadema kila mtu ni kambale na kweli imedhihirika mwaka huu. Kuwapa nchi muongoze msahau kabisaaa!!
DuhBado Boni Yao Kupitisha Press Conference na Yeye na Sugu
Mtupe na Bando Sasa 😂
Labda wahuni wahuni na ambao wahajui kesho yao. Mambo ya kushambuliana kwenye public ni kukosa hekima na busara. Wapigakura wenye hekima na busara hawawezi kuwapa kura. Ndio maana hata kwenye familia baba na mama hawatakiwi kugombana au kushambuliana kwenye public hiyo ndio hekima.Hebu waulizeni Wananchi ni style gani wanaitaka hii ya CHADEMA ya UWAZI na UKWELI au style ya CCM ya mambo GIZANI halafu muone Wananchi wanataka nini?