Mbangaizaji wa Taifa
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 493
- 844
Team Mbowe Vs Team LissuView attachment 3203510
Hiki ndicho alichokiandika Godbless Lemma baada ya Press Release ya Ezekiah Wenje
Msituchoshe kusikiliza ujinga wenu kila siku. Kwa haya yanaoyoendelea kwa chama hiki ni bora kusiwe na chama cha upinzani mrudi tu kwenye zile zama za giza neneView attachment 3203510
Hiki ndicho alichokiandika Godbless Lemma baada ya Press Release ya Ezekiah Wenje
Wewe umeshawahi.kuwa mwandishi wa habari?Mkuu Mbangaizaji wa Taifa, kwanini unakuwa muongo kiasi hiki? Wewe ni mmoja wa viwanda vya uongo hapa nchini? Kichwa chako cha habari unasema:
Godbless Lemma: Nitaongea na wanahabari kesho kujibu mapigo ya Wenje na genge lake
Sasa, wapi kwenye taarifa ya Lema amesema ulivyoandika kwenye kichwa chako cha habari? Wapi amesema anataka kujibu maigo? Wapi amemtaja Wenje? Uongo ni dhambi ujue...
Aje na maelezo ya hela za Join The Chain, hayo mengine hatuna haja ya kuyasikia. Kumbe walikusanya hela ili kufanya mapinduzi?Godbless Lemma: Nitaongea na wanahabari kesho kujibu mapigo ya Wenje na genge lake
viongozi waandamizi walioshindwa uchaguzi na wanao muunga mkono kibaraka wamepanicView attachment 3203510
Hiki ndicho alichokiandika Godbless Lemma baada ya Press Release ya Ezekiah Wenje
ANGALIA NA HII PIA