Godbless Lema: Nitaongea na wanahabari kesho kujibu mapigo ya Wenje na genge lake

Lema na Lisu wanapaswa wafukuzwe haraka.
Hawa ni waaasi hawafai hata kidogo
 
Hivi Chadema hakunaga waislamu?
 
Huyo Mngeze lema atulize matacle yake sio Kila saa kuropoka tu na kubweka kama Ng'ombe jike aliye Kosa dudu!
Mbowe kamsaidia sana Ila Tangu atoke 🍁 mdomo hautulii Ana wivu na pesa za mwenyekiti
Lema maandazi kweli Heri mtori kuliko Huyo jamaa
Tulieni mpikwe.
 
Lema na Lisu wanapaswa wafukuzwe haraka.
Hawa ni waaasi hawafai hata kidogo
Kwa maadili ya siasa za kitanzania hawafai
Kwasanabu wao wamewadanganya wanachama kupita upole wa mbowe kumbe walikuwa na kosa la kula njama la kumpindua mbowe kosa hili chama kinojielewa halivumiliki Kwa kosa hili mbowe halaumiki kukataa TAL kwasanabu iliishaonesha udhaifu hastahik hata kombea nafasi yyte ya chama kilicho waponza TAl lema niwaropokaji sasa km kosa mapindizi wapiga kura wasifanya makosa wpe mbowe Bora kuwacha waende kuliko kuwapa uongozi wa chama vyenginevyo chama kitakua na migawanyko na uhasanma usio kwisha
 
Sasa Bora odero ndo achafuliwe Ili kelele ziishe.

Hawa watu familia zao ziko ulaya Huko wasituchoshe
 
Utaongea nini wewe kaa kimya - kumbe mlitaka kumpindua Mbowe akiwa gelezani laah binadamu jamani hana wema.
Wewe nani wa kunyamazisha watu,wacheni dalali Wenje ashughulikiwe yeye ndiye chanzo cha matatizo yote haya nyie wengine mumekalia kumshabikia tu Mbowe hamjui yaliyoko nyuma ya pazia,ngoja Lemma apasue hilo buyu.
 
Bora apewe kura yule odero
 
Utaongea nini wewe kaa kimya - kumbe mlitaka kumpindua Mbowe akiwa gelezani laah binadamu jamani hana wema.
Aliwekwa gelezani kwa sababu ya ugaidi hata Samia alieleza kwenye mahojiano ya BBC Mbowe nigaidi ...sasa kunashida kumpindua gaidi
 
Vurugu kila mtu press hiv huko chaman hamna nidhamu
 
Patamu sana, mwendo ni press tu, mara yule mama, mara sijui nani, mara lema tena. All in all tieni kura kwa Lissu
Na bado ndani ya siku 3 zijazo yataibuliwa mambo magumu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…