Godbless Lema: Rais Samia na Makamba wanatafuta mbinu za kumbebesha lawama hayati Magufuli

Godbless Lema: Rais Samia na Makamba wanatafuta mbinu za kumbebesha lawama hayati Magufuli

Mimi CCM na Lema huwa nampinga barabara lakini kwenye Hili kaongea naungana naye Mia kwa Mia ana hoja

Kwenye masuala mazito kitaifa yenye tija na hoja nzito za wananchi walio wengi lazima upinzani na CCM tuungane kuwa kitu kimoja

Namuunga mkono Lema kwa Hili alilosema
Sukuma gang naona unampinga mama Samia
 
Sio swala la upepo Ni swala la hoja inayokubaliwa na wananchi walio wengi.Chadema kinarudi kwenye hoja za Msingi Lema ameanza kuonyesha njia Kama Dk Slaa alivyokuwa.Mimi CCM namuunga mkono hoja yake
Nakuona maji yamekushika hadi shingoni
 
Na hii tabia ya kushangaza naiona Tanzania tu, viongozi waliopo madarakani kushindwa kutekeleza wajibu wao na badala yake zigo lote wanamtwisha marehemu. Nchi zilizo staarabika raia hawawezi kuuvumilia huu utapeli.
Tumfukue marehemu
 
Nikajua kaja hata na hiyo mbinu kumbe Domo Domo tuu kama kawaida.

Magu hawezi kukwepa lawama kwa namna yeyote,miaka 6 hajajenga mtambo wa umeme wa gas in case kuna dharura kama hizi wakati anajua kwamba Bwawa lake haijulikani lini litakamilika na hata likikamilika ,je litakuwa immune na ukame?

Sio mara ya kwanza Tzn kubwa na ukame lakini hakufanya lolote la kukabili dharura.

Mwisho serikali haijakaa kimya imetoa mbinu hizo ikiwa ni kuwekeza kwenye gas na kuwasha mitambo ya mafuta kwa ajili ya dharura.Unaleta mchezo na mgwt 300 kuondoka kwenye grid?
Yaani ushindwe maisha uanze kumsingizia babaako marehemu! The world is full of opportunities na wewe unajiita hivo kwa nini unashindwa kujua hilo! Unafikiri watanzania ni wajinga!

Huu uongozi wenu wa mazuzu mtakumbuka shuka kumekucha! Nikuulize kitu kwa nini wakati wa kikwete umeme ulikuwa unakatika sana baada ya kuingia Magufuli haukukatika kwa kiwango kikubwa na vipi tena kafariki umeme tumerudi kule kule au kipindi cha Kikwete walikuwa wanafanya maintenance?
 
Unajibu hoja au unajamba na kuharisha upumbavu uliojaa kichwani kwako...
Wewe pimbi una akili? watu tunajadili kwa hoja unaleta umbea hapa! Hiyo miradi ya gesi ambayo mkuu wa kundi lenu fisadi msoga alikuwa kashainajisi na haina tija mpaka leo!

Mradi wa gesi ya mtwara unatija gani zaidi ya mapambio kama mnayopiga saizi! Nenda katawaze kwanza mk..ndu msenge wewe ndo uje hapa umejipanga! Unaongozwa na chuki tu huna hoja!
 
Back
Top Bottom