Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Utamkumbuka weweAkafa akisema mtanikumbuka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utamkumbuka weweAkafa akisema mtanikumbuka.
Kenge wanaaza kuwa wasikivu taratiibu.Leo ndiyo unamuona na kumtambua Lema?
Tayari maji yashawafika kichwani maana siyo shingoniKenge wanaaza kuwa wasikivu taratiibu.
Kukumbukana ni jambo jema. Au wewe hukumbuki waliotangulia?Utamkumbuka wewe
Sina muda huoKukumbukana ni jambo jema. Au wewe hukumbuki waliotangulia?
Sio swala la upepo Ni swala la hoja inayokubaliwa na wananchi walio wengi.Chadema kinarudi kwenye hoja za Msingi Lema ameanza kuonyesha njia Kama Dk Slaa alivyokuwa.Mimi CCM namuunga mkono hoja yakeLEEMA anaona watanzania wengi wanamkubali Magu naye kaona afuate upepo ulipo
Sukuma gang naona unampinga mama SamiaMimi CCM na Lema huwa nampinga barabara lakini kwenye Hili kaongea naungana naye Mia kwa Mia ana hoja
Kwenye masuala mazito kitaifa yenye tija na hoja nzito za wananchi walio wengi lazima upinzani na CCM tuungane kuwa kitu kimoja
Namuunga mkono Lema kwa Hili alilosema
Nakuona maji yamekushika hadi shingoniSio swala la upepo Ni swala la hoja inayokubaliwa na wananchi walio wengi.Chadema kinarudi kwenye hoja za Msingi Lema ameanza kuonyesha njia Kama Dk Slaa alivyokuwa.Mimi CCM namuunga mkono hoja yake
Huyu mama anatakiwa kupingwa na yeyote mwenye akili maana hana anachojua! Maneno mengi vitendo sifuri!Sukuma gang naona unampinga mama Samia
Muda Unao. Hapa unachofanya ni unawaza na kuzungumza kuhusu kutokumkumbuka na ndo kumkumbuka kwenyewe maana ndo mada ubongoni mwako.Sina muda huo
Umeme utawaka, lengo lao wakiwaletea richmond mwingine msipige mayowe.hawa jamaa hatutawaelewa !! yaani hatutawaruhusu kutupapasa sehemu hii tena hapana hapana - tunahitaji umeme uwake full stop.
Maelezo yako yanaonyesha unamkumbuka afadhar ucngejibu.Utamkumbuka wewe
Tumfukue marehemuNa hii tabia ya kushangaza naiona Tanzania tu, viongozi waliopo madarakani kushindwa kutekeleza wajibu wao na badala yake zigo lote wanamtwisha marehemu. Nchi zilizo staarabika raia hawawezi kuuvumilia huu utapeli.
Yaani ushindwe maisha uanze kumsingizia babaako marehemu! The world is full of opportunities na wewe unajiita hivo kwa nini unashindwa kujua hilo! Unafikiri watanzania ni wajinga!Nikajua kaja hata na hiyo mbinu kumbe Domo Domo tuu kama kawaida.
Magu hawezi kukwepa lawama kwa namna yeyote,miaka 6 hajajenga mtambo wa umeme wa gas in case kuna dharura kama hizi wakati anajua kwamba Bwawa lake haijulikani lini litakamilika na hata likikamilika ,je litakuwa immune na ukame?
Sio mara ya kwanza Tzn kubwa na ukame lakini hakufanya lolote la kukabili dharura.
Mwisho serikali haijakaa kimya imetoa mbinu hizo ikiwa ni kuwekeza kwenye gas na kuwasha mitambo ya mafuta kwa ajili ya dharura.Unaleta mchezo na mgwt 300 kuondoka kwenye grid?
Wewe pimbi una akili? watu tunajadili kwa hoja unaleta umbea hapa! Hiyo miradi ya gesi ambayo mkuu wa kundi lenu fisadi msoga alikuwa kashainajisi na haina tija mpaka leo!Unajibu hoja au unajamba na kuharisha upumbavu uliojaa kichwani kwako...
Tukisema sisi tunaabiwa tunaona wivu.Huyu mama anatakiwa kupingwa na yeyote mwenye akili maana hana anachojua! Maneno mengi vitendo sifuri!
UsinilazimisheMuda Unao. Hapa unachofanya ni unawaza na kuzungumza kuhusu kutokumkumbuka na ndo kumkumbuka kwenyewe maana ndo mada ubongoni mwako.