Godbless Lema: Rais Samia na Makamba wanatafuta mbinu za kumbebesha lawama hayati Magufuli

Godbless Lema: Rais Samia na Makamba wanatafuta mbinu za kumbebesha lawama hayati Magufuli

Wewe pimbi una akili? watu tunajadili kwa hoja unaleta umbea hapa! Hiyo miradi ya gesi ambayo mkuu wa kundi lenu fisadi msoga alikuwa kashainajisi na haina tija mpaka leo! Mradi wa gesi ya mtwara unatija gani zaidi ya mapambio kama mnayopiga saizi! Nenda katawaze kwanza mk..ndu msenge wewe ndo uje hapa umejipanga! Unaongozwa na chuki tu huna hoja!
Rubbish..kwa hiyo mradi wenye tija ni huu unaoathiriwa na ukame? Una uhanisi wa akili wewe kibwengo.
 
Nikajua kaja hata na hiyo mbinu kumbe Domo Domo tuu kama kawaida.

Magu hawezi kukwepa lawama kwa namna yeyote,miaka 6 hajajenga mtambo wa umeme wa gas in case kuna dharura kama hizi wakati anajua kwamba Bwawa lake haijulikani lini litakamilika na hata likikamilika ,je litakuwa immune na ukame?...
Mkuu Ni akili yako au huwa unaenda kusain 5000 pale kwenye ofc pendwa??
 
Mkuu Ni akili yako au huwa unaenda kusain 5000 pale kwenye ofc pendwa??
Hapana ni akili ya huyu hapa 👇

2952061_JamiiForums569115795.jpg


2952362_Q0f.jpg
 
Sukuma GANG mnawakati nguvu sana,mnatega masikiokabisa, ili yeyote ataesema tu Magufuli hiki kafanya vizuri . Mpate tabasamu.. mmeamua kuabudu Maiti.
Lema ni sukuma gang kumbe.
 
Sukuma GANG mnawakati nguvu sana,mnatega masikiokabisa, ili yeyote ataesema tu Magufuli hiki kafanya vizuri . Mpate tabasamu.. mmeamua kuabudu Maiti.
Biblia kitabu Cha Mwanzo 4:3-4:7 Mungu alimwambia Kaini aliponuna Baada ya kuona ndugu yake Habili anabarikiwa Sana alinuna Mungu akamwambia ukitenda mema utapata kibali usinune nduguyo Habili kubarikiwa

Leteni umeme na maji vya uhakika wa gharama nafuu na uhakika mtapata kibali kwa wananchi walio wengi wategemea umeme na maji vinginevyo msiwe Kama Kaini kumnununia Habili Magufuli aliyetenda vema kwenye umeme na maji
 
Mimi CCM na Lema huwa nampinga barabara lakini kwenye Hili kaongea naungana naye Mia kwa Mia ana hoja

Kwenye masuala mazito kitaifa yenye tija na hoja nzito za wananchi walio wengi lazima upinzani na CCM tuungane kuwa kitu kimoja

Namuunga mkono Lema kwa Hili alilosema
Kwenye madai ya Katiba Mpya mkumbuke kuwaunga mkono pia.
 
It's big shame kwa yanayoendelea! Kabla hata ya mwaka tunaparanganyika hadi aibu! Hao waliojiona ma genius sasa ndio wanavuruga hata kidogo chema alichoacha JPM.
Maccm mnasambaratika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji870][emoji870]
 
Kwenye madai ya Katiba Mpya mkumbuke kuwaunga mkono pia.
Umeme na maji Ni hitaji kubwa la kila mtanzania awe CCM awe upinzani anahitaji umeme na maji ndio hoja yaweza unganisha watanzania wote sababu kila mtanzania huhitaji hata kumuelimisha umuhimu wa Maji na umeme wa uhakika na Bei nafuu

Hahitaji Civic education au elimu au wahamasishaji
 
Kweli wapinzani WACHAWI khaa. Lema mjinga sana ndio maana analelewa huko nje
 
Back
Top Bottom