ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Ulipataje hesabu yao? au ndio yale makadirio mliyofundishwa na Mzee Polepole?LEEMA anaona watanzania wengi wanamkubali Magu naye kaona afuate upepo ulipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulipataje hesabu yao? au ndio yale makadirio mliyofundishwa na Mzee Polepole?LEEMA anaona watanzania wengi wanamkubali Magu naye kaona afuate upepo ulipo
Unamlazisha ngamia kunywa majiMaelezo yako yanaonyesha unamkumbuka afadhar ucngejibu.
Sikulazimishi. Ni tendo unalolifanya wewe. Unafikiria kutokumkumbuka JPM.😀Usinilazimishe
Rubbish..kwa hiyo mradi wenye tija ni huu unaoathiriwa na ukame? Una uhanisi wa akili wewe kibwengo.Wewe pimbi una akili? watu tunajadili kwa hoja unaleta umbea hapa! Hiyo miradi ya gesi ambayo mkuu wa kundi lenu fisadi msoga alikuwa kashainajisi na haina tija mpaka leo! Mradi wa gesi ya mtwara unatija gani zaidi ya mapambio kama mnayopiga saizi! Nenda katawaze kwanza mk..ndu msenge wewe ndo uje hapa umejipanga! Unaongozwa na chuki tu huna hoja!
Mkuu Ni akili yako au huwa unaenda kusain 5000 pale kwenye ofc pendwa??Nikajua kaja hata na hiyo mbinu kumbe Domo Domo tuu kama kawaida.
Magu hawezi kukwepa lawama kwa namna yeyote,miaka 6 hajajenga mtambo wa umeme wa gas in case kuna dharura kama hizi wakati anajua kwamba Bwawa lake haijulikani lini litakamilika na hata likikamilika ,je litakuwa immune na ukame?...
Hii nchi sijui tulikosea wapi! Seriously hawa watu wanapata nguvu upya! Ni aibu sanaUmeme utawaka, lengo lao wakiwaletea richmond mwingine msipige mayowe.
Every single move is being carefully calculated.
Hapana ni akili ya huyu hapa 👇Mkuu Ni akili yako au huwa unaenda kusain 5000 pale kwenye ofc pendwa??
Bashite anatapa tapa mno😀😀Halleluia naona sasa umeanza kuongea lugha moja na Lema.
Biblia kitabu Cha Mwanzo 4:3-4:7 Mungu alimwambia Kaini aliponuna Baada ya kuona ndugu yake Habili anabarikiwa Sana alinuna Mungu akamwambia ukitenda mema utapata kibali usinune nduguyo Habili kubarikiwaSukuma GANG mnawakati nguvu sana,mnatega masikiokabisa, ili yeyote ataesema tu Magufuli hiki kafanya vizuri . Mpate tabasamu.. mmeamua kuabudu Maiti.
Hahahaha! Bahati mbaya haiwezekani MkuuTumfukue marehemu
Kwenye madai ya Katiba Mpya mkumbuke kuwaunga mkono pia.Mimi CCM na Lema huwa nampinga barabara lakini kwenye Hili kaongea naungana naye Mia kwa Mia ana hoja
Kwenye masuala mazito kitaifa yenye tija na hoja nzito za wananchi walio wengi lazima upinzani na CCM tuungane kuwa kitu kimoja
Namuunga mkono Lema kwa Hili alilosema
Maccm mnasambaratika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji870][emoji870]It's big shame kwa yanayoendelea! Kabla hata ya mwaka tunaparanganyika hadi aibu! Hao waliojiona ma genius sasa ndio wanavuruga hata kidogo chema alichoacha JPM.
Umeme na maji Ni hitaji kubwa la kila mtanzania awe CCM awe upinzani anahitaji umeme na maji ndio hoja yaweza unganisha watanzania wote sababu kila mtanzania huhitaji hata kumuelimisha umuhimu wa Maji na umeme wa uhakika na Bei nafuuKwenye madai ya Katiba Mpya mkumbuke kuwaunga mkono pia.
Halafu wewe ni mjinga Fulani mwenye akili ndogo huwa husimami kwenye hoja .Sio lazima ku comment kwa akili yako nadhani hukustahili kuwemo JamiiForums una akili ndogo mnoChawa naona sasa mmeanza kuikubali cdm angalau kwa sheeeedaaaa na kinyongeeeeeee