Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,690
- 3,399
Uko na mimiKwenye madai ya Katiba Mpya mkumbuke kuwaunga mkono pia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko na mimiKwenye madai ya Katiba Mpya mkumbuke kuwaunga mkono pia.
Pole, bado ninasubiri kupata jibu la kitaalamu lenye hoja. Amen.Vyeti fake MNA hasira sana
Shida inayokabili wananchi Kwa Sasa Ni umeme na maji sio katiba mpya au tume huru watu wanataka umeme na maji usitutoe kwenye reli.Umeme na maji unahitajika na wenye vyama na wasio na vyama ndio maana Kuna mshikamano sababu Ni common problem yenye athari kwa wore.Lema kaliona na nimpongeze .Kaibua tatizo common linaloweza pata support toka kwa kila mtanzania bila kujali chama alichopo Cha siasa au Hana chama au hataki siasa kabisa iwe ya katiba mpya au tume huruHakika. Huu mshikamano uongezwe hata kwa mambo mengine ya msingi kama, Katiba mpya na Bora, Tume huru ya uchaguzi. Hivi vyote ni kwa faida ya watanzania. Hawa wanasiasa wanatudanganya kwa maneno yao kwa faida yao, kwa sababu wameshika "keki" mkononi, lakini sisi tuweke kwanza Taifa letu mbele.
KATIBA Bora na Tume huru ya uchaguzi ni kwa watanzania. Hali tuliyopita nayo kwenye uchaguzi wa 2020 kila mmoja wetu anaiona kwamba haina afya kwa Taifa.
Cc YEHODAYA johnthebaptist
Unanichokoza Mimi? Utaniweza ? Wewe mwenyewe mwabudu maiti Mohamed kutwa kumtaja na kumwombea .LaanKum wewe Mohamed Yuko hai?Mnaabudu maiti, LAANAKUM
Uwezi fanananisha mitume na Magufuli mnakosea sana.Unanichokoza Mimi? Utaniweza ? Wewe mwenyewe mwabudu maiti Mohamed kutwa kumtaja na kumwombea .LaanKum wewe Mohamed Yuko hai?
Mohamed maiti na Magufuli maiti
Huyo mvaa madera na mwabudu majini mwache akuchokoze sisi tunamwabudu aliyeshinda kifo pale msalabani anatuletea ngojera za kuabudu mtu aliyekufa na hasikii! Wao kazi yao wanamshabikia kwa sababu ni Rais Mwislam sijui wakikosa maji au umeme huwa ankuja kuwasaidia!Unanichokoza Mimi? Utaniweza ? Wewe mwenyewe mwabudu maiti Mohamed kutwa kumtaja na kumwombea .LaanKum wewe Mohamed Yuko hai?
Mohamed maiti na Magufuli maiti
Team Maushungi, Team Urojo... [emoji2781]Nikajua kaja hata na hiyo mbinu kumbe Domo Domo tuu kama kawaida.
Magu hawezi kukwepa lawama kwa namna yeyote,miaka 6 hajajenga mtambo wa umeme wa gas in case kuna dharura kama hizi wakati anajua kwamba Bwawa lake haijulikani lini litakamilika na hata likikamilika ,je litakuwa immune na ukame?
Sio mara ya kwanza Tzn kubwa na ukame lakini hakufanya lolote la kukabili dharura.
Mwisho serikali haijakaa kimya imetoa mbinu hizo ikiwa ni kuwekeza kwenye gas na kuwasha mitambo ya mafuta kwa ajili ya dharura.Unaleta mchezo na mgwt 300 kuondoka kwenye grid?
Siyo suala la kumkubali Magufuli, ni suala la ukweli.LEEMA anaona watanzania wengi wanamkubali Magu naye kaona afuate upepo ulipo
Ulitaka niwe timu Mbowe mkishilikiana na timu 👇Team Maushungi, Team Urojo... [emoji2781]
Na kama Mungu aishivyo alikufa kweli na nchi imepona.Ulitabiri afe.
Sasa asipige yowe za umeme sijui marehemu anasingiziwa, ajikite na kutabiri.Na kama Mungu aishivyo alikufa kweli na nchi imepona.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Team mwendazake hapa umepiga bonge la U_turn. Hata hili jina unalotumia hapa ni wazi unalitumia kwa malengo rasmi. Endelea kupasha, huenda ukakumbukwa.Wakimbizi wa kisiasa huwa wanajipa kazi moja siku zote, ya kuwa wachonganishi.
Unabii ni maono, hayana uhusiano na kumpenda au kumchukia mtu. Unabii unalenga kutoa onyo. Onyo utaisikia na kulifuata, ni suala jingine. Ni watawala wachache sana, katika historia, waliwahi kuzingatia maonyo ya kinabii.Sasa Lema pilipili ya shamba ya kuwashia nini? Wewe jadidili mambo ya Ontario huko.
Lakini si wewe ulimtabiria kifo Mzee wetu? Ulimuona hafai? Je, upendo wako kwake umeanza lini?
Nilimpinga kwa mengi lakini kuhusu umeme aliweza kudhibiti hali.Utamkumbuka wewe
Nadhani ujumbe wa Lema upo wazi - watawala wa sasa wafanye kazi, na siyo kukimbia udhaifu wao kwa kumtupia lawama marehemu. Marehemu awe alitenda vema au vibaya, haituhusu, wao wanatakiwa watimize wajibu wao, au waseme tu kuwa wameshindwa. Ukiwa dhaifu, huwezi kuondokana na udhaifu kwa kuonesha madhaifu ya mwingine.Sasa asipige yowe za umeme sijui marehemu anasingiziwa, ajikite na kutabiri.