Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Lema siyo zuzu kama wewe na chawa wenzakoLEEMA anaona watanzania wengi wanamkubali Magu naye kaona afuate upepo ulipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lema siyo zuzu kama wewe na chawa wenzakoLEEMA anaona watanzania wengi wanamkubali Magu naye kaona afuate upepo ulipo
@YEHODAYA ndugu tunaandika sana kuhusu "umoja" wa kuipigania nchi na sio mtu ama kikundi, mnatuita majina yote mabaya mpaka kutupiga risasi, kutupa kesi za uhujumu uchumi na ugaidi!Mimi CCM na Lema huwa nampinga barabara lakini kwenye Hili kaongea naungana naye Mia kwa Mia ana hoja
Kwenye masuala mazito kitaifa yenye tija na hoja nzito za wananchi walio wengi lazima upinzani na CCM tuungane kuwa kitu kimoja
Namuunga mkono Lema kwa Hili alilosema
Maji yamewafika shingoni na huu ndiyo muda muafaka sasa wapenda mageuzi tuanze kukoleza kuni ili moto uwakeMimi CCM na Lema huwa nampinga barabara lakini kwenye Hili kaongea naungana naye Mia kwa Mia ana hoja
Kwenye masuala mazito kitaifa yenye tija na hoja nzito za wananchi walio wengi lazima upinzani na CCM tuungane kuwa kitu kimoja
Namuunga mkono Lema kwa Hili alilosema
Pambananeni na hali zenu habari za cdm wachana nazo na msitegemee kama mtapata sapoti.Sio swala la upepo Ni swala la hoja inayokubaliwa na wananchi walio wengi.Chadema kinarudi kwenye hoja za Msingi Lema ameanza kuonyesha njia Kama Dk Slaa alivyokuwa.Mimi CCM namuunga mkono hoja yake
CCM inatakiwa kupingwa na Mtanzania yeyote mwenye nia ya dhati ya kuiona Tanzania inapiga hatua kimaendeleo na kutoka kwenye umasikini huu tuliokuwa nao hata miaka 60 baada ya uhuru.Huyu mama anatakiwa kupingwa na yeyote mwenye akili maana hana anachojua! Maneno mengi vitendo sifuri!
Baada ya kumrudisha huyu mbumbuli nikajua tayari mambo yameivaUmeme utawaka, lengo lao wakiwaletea richmond mwingine msipige mayowe.
Every single move is being carefully calculated.
@YEHODAYA , Kaini ni Kaini , Habil ni Habil na Magufuli ni Magufuli, usichanganye ndugu.Biblia kitabu Cha Mwanzo 4:3-4:7 Mungu alimwambia Kaini aliponuna Baada ya kuona ndugu yake Habili anabarikiwa Sana alinuna Mungu akamwambia ukitenda mema utapata kibali usinune nduguyo Habili kubarikiwa
Leteni umeme na maji vya uhakika wa gharama nafuu na uhakika mtapata kibali kwa wananchi walio wengi wategemea umeme na maji vinginevyo msiwe Kama Kaini kumnununia Habili Magufuli aliyetenda vema kwenye umeme na maji
Ni lini tangu tupate uhuru hatukuwahi kupigwa!!??What are you gonna do about it?
Kelele mitandaoni as usual?
Hii tumepigwa mazima mkuu.
Cdm na viongozi wake haijawah hata mara moja kutokutanguliza maslahi ya Taifa mbele. Siku zote Mapiga makofi bungeni hata kama ni utopolo hoja ni ma ccm, yanayotumia kodi zetu vibaya ikiwemo kuwalipa mishahara na marupurupu covids kinyume cha sheria na kanuni, huku wananchi wakiumia kwa kukosa huduma muhimu, ikiwemo maji na umeme, ni ma ccm. Na aliyesimika chini mfumo wa kutokuheshimu katiba na sheria za nchi ni dikteata mwendasake akisaidiwa na bunge dhaifu la mzee wa kongwa na wote ni Ma ccm. Ma ccm jirejebishen, oneni aibu, mnaua nchi kwa tamaa yenu ya madaraka iliyovuka mipaka ya kibinadamChadema ilikuwa ndio Chama Cha kuibua ufisadi Cha kudhibiti mafisadi CCM wakiwa CCM
Godbless Lema go ahead.Mwanzo mzuri Ulichoongea kina mashiko ndani ya Chadema na ndani ya Sisi Wana CCM watanguliza Taifa kwanza vyama baadaye kwa hoja
Una hoja Godbless Lema .
Mambo serious ya kitaifa yanatakiwa kwenda beyond political parties ideology au support.Godbless Lema go ahead me as a CCM member muumini wa taifa ni kitu kuwa Taifa ni kitu kikubwa kuliko political pary au ideology nakuunga mkono una hoja hata CCM wenzangu wakupinge au Chadema wenzio wakupinge lakini una hoja nzito
Wanafiki hao.....Wewe jamaa ni Msaliti kama wengine
Uongo mtupu unajidanganya....Cdm na viongozi wake haijawah hata mara moja kutokutanguliza maslahi ya Taifa mbele. Siku zote Mapiga makofi bungeni hata kama ni utopolo hoja ni ma ccm, yanayotumia kodi zetu vibaya ikiwemo kuwalipa mishahara na marupurupu covids kinyume cha sheria na kanuni, huku wananchi wakiumia kwa kukosa huduma muhimu, ikiwemo maji na umeme, ni ma ccm. Na aliyesimika chini mfumo wa kutokuheshimu katiba na sheria za nchi ni dikteata mwendasake akisaidiwa na bunge dhaifu la mzee wa kongwa na wote ni Ma ccm. Ma ccm jirejebishen, oneni aibu, mnaua nchi kwa tamaa yenu ya madaraka iliyovuka mipaka ya kibinadam
Aresti weli kivipi?????!!!!?......hakuna cha kuresti weli hapa..ufanye maovu dhidi ya binadamu wenzio halafu eti utegemee kuresti weli!!!!! No way.....ni motoni tu.The same people waliokua wanamuombea mabaya,
Laana yake haitawaacha salama, sio Chadema, sio CCM.
Rest well JPM
Lema anaenda na upepo unapoelekea,hapa kazichanga karata vizuri sanaLEEMA anaona watanzania wengi wanamkubali Magu naye kaona afuate upepo ulipo
Mnafiki tu......Daa haya maisha haya, yaani leo Godbless anamsemea late John kwa uzuri 😆.
👉🏾 Naendelea kujifunza tabia ya binadamu!.
Anazichanga karata ughaibuni??!?Lema anaenda na upepo unapoelekea,hapa kazichanga karata vizuri sana