Godbless Lema sasa umaarufu unampa kiburi cha kutukana watumishi na kudhihaki jina la Yesu

Godbless Lema sasa umaarufu unampa kiburi cha kutukana watumishi na kudhihaki jina la Yesu

View attachment 3077975
Kuna watu wanapata umaarufu sana na mwisho wanapata kiburi cha uzima na kuanza kutukana watumishi na hata kumkufuru Mungu.

Katika ukurasa wake wa X(Twitter) Godbless Lema kaandika,

"Baba Askofu (picha ya Askofu Malasusa) Bwana Yesu asifiwe sana. Pole na kazi ya Mungu. Huku Arusha tunaendelea vizuri kiasi na watu wanaendelea kusubiri TAMKO la Kanisa unaloliongoza wewe juu ya ukatili mkali huko NGORONGORO na Utekaji na utesaji dhidi ya raia. Msalimie sana YESU."

Hiki ni kiburi.
Namshauri Lema kwa ukurasa huo huo aombe radhi kwa kuwaona watumishi wa Kanisa kuwa political sparring partners.
Mbaya zaidi kulifedhesha na kudhihaki Jina lipitalo majina yoye, YESU.

Asipofanya hivyo hizo salamu anazozitafuta atazipata, na si muda mrefu.
Hapo kwenye msalimie sana YESU ndo alipojichoma mwenyewe.
 
Lema sahivi anajishughulisha na nini? Tukiona tu wizi wa magari umerudi hapa Arusha tunaanza nae
Kama ni mwizi wa magari mpeleke Mahakamani. Wewe hapa jibu hoja sio kumshambulia bila kuwa na hoja.
 
View attachment 3077975
Kuna watu wanapata umaarufu sana na mwisho wanapata kiburi cha uzima na kuanza kutukana watumishi na hata kumkufuru Mungu.

Katika ukurasa wake wa X(Twitter) Godbless Lema kaandika,

"Baba Askofu (picha ya Askofu Malasusa) Bwana Yesu asifiwe sana. Pole na kazi ya Mungu. Huku Arusha tunaendelea vizuri kiasi na watu wanaendelea kusubiri TAMKO la Kanisa unaloliongoza wewe juu ya ukatili mkali huko NGORONGORO na Utekaji na utesaji dhidi ya raia. Msalimie sana YESU."

Hiki ni kiburi.
Namshauri Lema kwa ukurasa huo huo aombe radhi kwa kuwaona watumishi wa Kanisa kuwa political sparring partners.
Mbaya zaidi kulifedhesha na kudhihaki Jina lipitalo majina yoye, YESU.

Asipofanya hivyo hizo salamu anazozitafuta atazipata, na si muda mrefu.
Anaelekea kuangukia pua huyu jamaa, mzee wa kutabiria wenzake vifo.
 
Katika watu wanafiki Lema Yumo anataka askofu WA kanisa asilosali dhehebu tofauti na lake atoe tamko Kwa nini hajataka askofu WA kanisa lake analosali atoe tamko?
 
Kumbuka Lema ni .tu anayepitia kipindi kigumu mke anapigwa baridi Canada yeye yupo Arusha
 
Mimi nilivyo elewa Lema anamwamini Yesu kuliko wewe. Mwombe radhi Yesu ni rafiki yetu anatembea na sisi sote.
 
Lema yupo sahihi kabisa.Ulimsikia askofu waRC kule mbulu mbele ya mgeni rasmi mwigulu.
 
View attachment 3077975
Kuna watu wanapata umaarufu sana na mwisho wanapata kiburi cha uzima na kuanza kutukana watumishi na hata kumkufuru Mungu.

Katika ukurasa wake wa X(Twitter) Godbless Lema kaandika,

"Baba Askofu (picha ya Askofu Malasusa) Bwana Yesu asifiwe sana. Pole na kazi ya Mungu. Huku Arusha tunaendelea vizuri kiasi na watu wanaendelea kusubiri TAMKO la Kanisa unaloliongoza wewe juu ya ukatili mkali huko NGORONGORO na Utekaji na utesaji dhidi ya raia. Msalimie sana YESU."

Hiki ni kiburi.
Namshauri Lema kwa ukurasa huo huo aombe radhi kwa kuwaona watumishi wa Kanisa kuwa political sparring partners.
Mbaya zaidi kulifedhesha na kudhihaki Jina lipitalo majina yoye, YESU.

Asipofanya hivyo hizo salamu anazozitafuta atazipata, na si muda mrefu.
Duh...mshazoea nini kusifiasifia
Huku moyoni mnaugulia

Ova
 
View attachment 3077975
Kuna watu wanapata umaarufu sana na mwisho wanapata kiburi cha uzima na kuanza kutukana watumishi na hata kumkufuru Mungu.

Katika ukurasa wake wa X(Twitter) Godbless Lema kaandika,

"Baba Askofu (picha ya Askofu Malasusa) Bwana Yesu asifiwe sana. Pole na kazi ya Mungu. Huku Arusha tunaendelea vizuri kiasi na watu wanaendelea kusubiri TAMKO la Kanisa unaloliongoza wewe juu ya ukatili mkali huko NGORONGORO na Utekaji na utesaji dhidi ya raia. Msalimie sana YESU."

Hiki ni kiburi.
Namshauri Lema kwa ukurasa huo huo aombe radhi kwa kuwaona watumishi wa Kanisa kuwa political sparring partners.
Mbaya zaidi kulifedhesha na kudhihaki Jina lipitalo majina yoye, YESU.

Asipofanya hivyo hizo salamu anazozitafuta atazipata, na si muda mrefu.
Kwani uongo kuwa Malasusa ni kibaraka hatari wa serikali ya CCM?
 
View attachment 3077975
Kuna watu wanapata umaarufu sana na mwisho wanapata kiburi cha uzima na kuanza kutukana watumishi na hata kumkufuru Mungu.

Katika ukurasa wake wa X(Twitter) Godbless Lema kaandika,

"Baba Askofu (picha ya Askofu Malasusa) Bwana Yesu asifiwe sana. Pole na kazi ya Mungu. Huku Arusha tunaendelea vizuri kiasi na watu wanaendelea kusubiri TAMKO la Kanisa unaloliongoza wewe juu ya ukatili mkali huko NGORONGORO na Utekaji na utesaji dhidi ya raia. Msalimie sana YESU."

Hiki ni kiburi.
Namshauri Lema kwa ukurasa huo huo aombe radhi kwa kuwaona watumishi wa Kanisa kuwa political sparring partners.
Mbaya zaidi kulifedhesha na kudhihaki Jina lipitalo majina yoye, YESU.

Asipofanya hivyo hizo salamu anazozitafuta atazipata, na si muda mrefu.
Bado nahangaika kutafuta tusi alilotukana Lema kwa Malasusa..
 
Lema yupo sahihi kabisa.Ulimsikia askofu waRC kule mbulu mbele ya mgeni rasmi mwigulu.
Askofu wa Kanisa La Lema abalosali umemsikia akiongea chochote cha Ngorongoro?

Lema hana ujasiri kumwambia Askofu wake atoe tamko ujasiri hana na haji kuwa nsi ndio maana anadandia maaaskofu wasio wa kanisa lake anasali
 
Back
Top Bottom