Godbless Lema unarudi Tanzania kufukuzia ubunge. Ila tambua mambo yalishabadilika, 2010 sio 2025. Gea ya ukimbizo nayo ilishakuchafua

Godbless Lema unarudi Tanzania kufukuzia ubunge. Ila tambua mambo yalishabadilika, 2010 sio 2025. Gea ya ukimbizo nayo ilishakuchafua

Hii sio siri. Ni suala ambalo lipo wazi kabisa. Kuwa Godbless Lema hukukimbia mateso ya kisiasa. Bali baada ya kukosa ubunge 2020 ulitafuta fursa.

Leo hii unarudi kupigia mahehasabu ubunge 2025.

Kumbuka kuwa 2010 sio sawa na 2025. Nina maanisha kuwa Chadema tulivyokubalika 2010 sio sawa na leo hii 2023.

Karibu.

View attachment 2501734
Wee fala kwan hofu yako ni nini?? Tulia ukiliweka tako juu dawa ikuingie.
Uyo Gambo mpaka sasa kafanya nini zaid ya malumbano tu??
Hacha democracy ichukue nafasi
 
Mkuu ilikuwa unataka aendelee kukaa uhamishoni mpaka lini? Watanzania ni wakarimu amekwenda amerudi, tunampokea maisha yanaendelea.
Si angeendelea kubakia huko kwa maana alishasema watanzania ni wajinga ?kwa nini asiendelee kula bure huko alipo?
 
Hii sio siri. Ni suala ambalo lipo wazi kabisa. Kuwa Godbless Lema hukukimbia mateso ya kisiasa. Bali baada ya kukosa ubunge 2020 ulitafuta fursa.

Leo hii unarudi kupigia mahehasabu ubunge 2025.

Kumbuka kuwa 2010 sio sawa na 2025. Nina maanisha kuwa Chadema tulivyokubalika 2010 sio sawa na leo hii 2023.

Karibu.

View attachment 2501734
Yaani wewe ni kilaza Sana
 
Nimeisoma huu waraka wa CHADEMA kuhusu ujio wa Mh.Lema, sijaona popote walipoandika anarudi kufukuzia ubunge, unless wewe mtoa hoja ni msemaji wa Mh.Lema ambaye ni kama lose Canon, maana tamko la CDM ndio tamko rasmi,na wewe unatuambia kuhusu ubunge !,pls mkuu Linda hadhi yako
Alinde hadhi gani sijawahi kuona chawa mwenye hadhi

Ukishaka chawa we hadhi yako ni chawa tu
 
Hii sio siri. Ni suala ambalo lipo wazi kabisa. Kuwa Godbless Lema hukukimbia mateso ya kisiasa. Bali baada ya kukosa ubunge 2020 ulitafuta fursa.

Leo hii unarudi kupigia mahehasabu ubunge 2025.

Kumbuka kuwa 2010 sio sawa na 2025. Nina maanisha kuwa Chadema tulivyokubalika 2010 sio sawa na leo hii 2023.

Karibu.

View attachment 2501734
uliyepost habari si mwanachaddma ila mamluki
 
Turudi wote kwenye Nchi yetu Tanzania, nchi ya amani na upendo wa kidugu. Ndani ya miaka takribani 7 nchi yetu ilivamiwa, nchi ikawa haikaliki ukinyenyua mdomo kidogo tu kesho yake hauonekani na hata kwa bahati ukionekana basi upo nyakanyaka.
Ni muda sasa wa kuijenga nchi na kuweka misingi imara ili hata akija Rais wetu yoyote yule hiyo mifumo imara ndani ya Katiba mpya itamdhibiti.
Karibu tena nyumbani Mh. Lema.
 
Hii sio siri. Ni suala ambalo lipo wazi kabisa. Kuwa Godbless Lema hukukimbia mateso ya kisiasa. Bali baada ya kukosa ubunge 2020 ulitafuta fursa.

Leo hii unarudi kupigia mahehasabu ubunge 2025.

Kumbuka kuwa 2010 sio sawa na 2025. Nina maanisha kuwa Chadema tulivyokubalika 2010 sio sawa na leo hii 2023.

Karibu.

View attachment 2501734
NI HAKI YAKE au HUTAKI maana Wajinga mpo wengi sana kwa Sasa
 
Back
Top Bottom