Godbless Lema unarudi Tanzania kufukuzia ubunge. Ila tambua mambo yalishabadilika, 2010 sio 2025. Gea ya ukimbizo nayo ilishakuchafua


Si mlisema ana madeni ameyakimbia. Vipi alikwisha lipa?
 
Sukuma gang kazi unayo.
 
Wee fala kwan hofu yako ni nini?? Tulia ukiliweka tako juu dawa ikuingie.
Uyo Gambo mpaka sasa kafanya nini zaid ya malumbano tu??
Hacha democracy ichukue nafasi
Gambo kaiba milioni 400 za chama cha bodaboda Arusha
 
Wee fala kwan hofu yako ni nini?? Tulia ukiliweka tako juu dawa ikuingie.
Uyo Gambo mpaka sasa kafanya nini zaid ya malumbano tu??
Hacha democracy ichukue nafasi
Hiv ukifika Arusha ukawauliza mbunge wao watamtaja Nani 😅😅🤣🤣
 
Ccm mna tatizo kweli
 
Huyo mjinga ni Sukuma Gang na anahofia ujio wa Lemma kwa vile yeye huo ubunge alipewa tu na yule mwovu aliyeko motoni lakini kikipigwa tena kwenye uchaguzi huru na haki Lemma atamgaragaza sana.
Asee achana na hiyo chombo inaitwa Lema, huyo Lema kwa wanaarusha ni habari nyingine,. Ubunge wa kupewa unampa Sukuma Gang mashaka juu ya ujio wa mwambha Lema
 
WANAO MDAISASA NI KICHEKO TU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…