SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Huyo mjinga ni Sukuma Gang na anahofia ujio wa Lemma kwa vile yeye huo ubunge alipewa tu na yule mwovu aliyeko motoni lakini kikipigwa tena kwenye uchaguzi huru na haki Lemma atamgaragaza sana.uliyepost habari si mwanachaddma ila mamluki
Lema hawezi kushinda Mbunge tena
Hii sio siri. Ni suala ambalo lipo wazi kabisa. Kuwa Godbless Lema hukukimbia mateso ya kisiasa. Bali baada ya kukosa ubunge 2020 ulitafuta fursa.
Leo hii unarudi kupigia mahehasabu ubunge 2025.
Kumbuka kuwa 2010 sio sawa na 2025. Nina maanisha kuwa Chadema tulivyokubalika 2010 sio sawa na leo hii 2023.
Karibu.
View attachment 2501734
Sukuma gang kazi unayo.Hii sio siri. Ni suala ambalo lipo wazi kabisa. Kuwa Godbless Lema hukukimbia mateso ya kisiasa. Bali baada ya kukosa ubunge 2020 ulitafuta fursa.
Leo hii unarudi kupigia mahehasabu ubunge 2025.
Kumbuka kuwa 2010 sio sawa na 2025. Nina maanisha kuwa Chadema tulivyokubalika 2010 sio sawa na leo hii 2023.
Karibu.
View attachment 2501734
Hivi sifa za kuwa mkimbizi alikuwa nazo kweli? Au alitoa kitu kidogo?
Gambo kaiba milioni 400 za chama cha bodaboda ArushaWee fala kwan hofu yako ni nini?? Tulia ukiliweka tako juu dawa ikuingie.
Uyo Gambo mpaka sasa kafanya nini zaid ya malumbano tu??
Hacha democracy ichukue nafasi
Eti anataka kumfundisha Lema siasa huyu vipiiiiiii!!!???Utaukumbuka ukuu wa mkoa nipo pale
Hiv ukifika Arusha ukawauliza mbunge wao watamtaja Nani 😅😅🤣🤣Wee fala kwan hofu yako ni nini?? Tulia ukiliweka tako juu dawa ikuingie.
Uyo Gambo mpaka sasa kafanya nini zaid ya malumbano tu??
Hacha democracy ichukue nafasi
Ccm mna tatizo kweliHii sio siri. Ni suala ambalo lipo wazi kabisa. Kuwa Godbless Lema hukukimbia mateso ya kisiasa. Bali baada ya kukosa ubunge 2020 ulitafuta fursa.
Leo hii unarudi kupigia mahehasabu ubunge 2025.
Kumbuka kuwa 2010 sio sawa na 2025. Nina maanisha kuwa Chadema tulivyokubalika 2010 sio sawa na leo hii 2023.
Karibu.
View attachment 2501734
Asee achana na hiyo chombo inaitwa Lema, huyo Lema kwa wanaarusha ni habari nyingine,. Ubunge wa kupewa unampa Sukuma Gang mashaka juu ya ujio wa mwambha LemaHuyo mjinga ni Sukuma Gang na anahofia ujio wa Lemma kwa vile yeye huo ubunge alipewa tu na yule mwovu aliyeko motoni lakini kikipigwa tena kwenye uchaguzi huru na haki Lemma atamgaragaza sana.
WANAO MDAISASA NI KICHEKO TUHii sio siri. Ni suala ambalo lipo wazi kabisa. Kuwa Godbless Lema hukukimbia mateso ya kisiasa. Bali baada ya kukosa ubunge 2020 ulitafuta fursa.
Leo hii unarudi kupigia mahehasabu ubunge 2025.
Kumbuka kuwa 2010 sio sawa na 2025. Nina maanisha kuwa Chadema tulivyokubalika 2010 sio sawa na leo hii 2023.
Karibu.
View attachment 2501734
PumbavuSukuma gang kazi unayo.
Rudisha Million 400 za wale boda boda vinginevyo watakushukia na condom na vilainishi shauri yakoPumbavu
Hakuna siasa za mihemuko tena Arusha, Hawezi kuwa Mbunge mark my manenos hapa.Utamwibia kura ?? Au wewe ni mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi