- Thread starter
- #21
Wewe una minyoo yenye manyoya kichwani kwako na utombo mdogo una dumuziUna mdudu kichwani na ubongo embeded kwenye intestine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe una minyoo yenye manyoya kichwani kwako na utombo mdogo una dumuziUna mdudu kichwani na ubongo embeded kwenye intestine
May be deal doneKama akinunuliwa na akakubali anaweza enda
Kwisha habari yake keshaelekea kibla huyo anasubiri kuchinjwa tuMtu alishasema kuwa aliongea na Mzee Kikwete kabla ya kurudi bongo huyo ni wa kumwamini Tena
Kwa nini sio mmewe?Labda ni mke wa Lema.
nimekutoa kwenye ujinga wa ccm, umekuja kwa spidi zote 😀 😀 😀 😀Wewe una minyoo yenye manyoya kichwani kwako na utombo mdogo una dumuzi
Unauhakika na unachokisema kuwa nimemnukuu vibaya? Kwa kuwa hujasoma Cuba huwezi kuelewa andiko hili kijanaKwa nini umsemee Lema au kumnukuu ndivyo sivyo? Kuvembewa huko
Miye ni mtu huru dogo elewa hilo kwanza kabla ya kupayuka usichojua juu yangunimekutoa kwenye ujinga wa ccm, umekuja kwa spidi zote 😀 😀 😀 😀
Tulia dawa ikuingie dogoKwa nini umsemee Lema au kumnukuu ndivyo sivyo? Kuvembewa huko
Umenena vyema kiongoziWaende tu chama ni watu na siyo viongozi tu.
Hilo la Lema kwenda ccm sina shaka nalo. Kimmsingi Lema ameshajua ccm inatumia hela kwa namna yoyote ili kupata ushawishi, na Lema ni mpenda hela lazima atumie nafasi hiyo kufanya yake.Mara 3 nyingi mara 2 tu kwisha habari yake
Waende ccm ili na sisi wengine tuingie Chadema kuchukuwa nafasi zao, maana kila siku wao tu.Wao wana kauli fulani ya kijusura kwamba hata wakiondoka woote - wanachama na viongozi wao - CDM ushindi uko palepale.
Bado najiuliza iwapo hilo linamantikika kihalisia na kifalsafa; ntakupelekeeni majibu yenu baadaye.
Una lengo la kuchukua nafasi tu, au una viingizo rasifu (quality inputs) vinavyoakisi matakwa makuu ya Watanzania kwa sasa?Waende ccm ili na sisi wengine tuingie Chadema kuchukuwa nafasi zao, maana kila siku wao tu.
Kina Msigwa wanatuthibitishia hivyo vyeo ni ulaji.Una lengo la kuchukua nafasi tu, au una viingizo rasifu (quality inputs) vinavyoakisi matakwa makuu ya Watanzania kwa sasa?
Kuitwa kiongozi ni jambo moja, lakini kuwa kiongozi au kutimiza azma ya uongozi ni ncha nyingine kabisa.
Kuna wengi sana wanaoitwa viongozi lakini ni hasara kwa taifa maradufu. Ni heri wasingekuwepo hapo kabisa.
Bado Lisu 🤣🤣Baada ya Mchungaji Peter Msigwa kushindwa uchaguzi wa kanda ya Nyasa alisema yeye hakufuata uongozi CHADEMA bali kuwatumikia wananchi hata akiitwa sehemu yoyote atafanyakazi ya kutumikia Watanzania ndani ya chama hicho.
Baada ya kauli hiyo ya kijasiri na kizalendo ya Msigwa, mwamba Godbless Lema aliandika kwenye mitandao yake ya kijamii kuunga mkono kauli hiyo ya Msigwa
Lema alisema hata yeye hana mpango wa kugombea tena uongozi wa kanda ya Kaskazini na kwamba atamfuata Msigwa huko aliko nje ya uongozi ili wakafanye siasa wote
Hatimaye pamoja na kauli ya Msigwa kuwa ataendelea kuwa kada mtiifu wa CHADEMA lakini amefanya maamuzi magumu ya kuhamia CCM na kwenda kufanya siasa zake za kutumikia Wananchi huko CCM, je Lema atamfuata huko huko CCM alikoahidi kuwa atafanyakazi na Msigwa nje ya uongozi?
Inaonyesha Msigwa na Lema ni Waarabu wa Pemba wanajuana kwa vilemba vyao wameshachanga karata zao na kujipanga kufanya maamuzi magumu ya kuhama CHADEMA
Pia inaonyesha waliomshawishi Msigwa kwenda CCM ndio hao hao wako pia nyuma ya Lema na kwamba wamemtanguliza Msigwa kwanza ni swala la muda tu na Lema naye ataunga mkono juhudi wakati wake ukifika
Kuthibitisha hilo hata baada ya Msigwa kuasi CHADEMA na kujiunga CCM Lema bado anamlilia na kusema anatamani kuendelea kufanyakazi Msigwa
Ni swala la muda tu baada ya Mchungaji Msigwa kwenda CCM anayefuatia ni Lema kuondoka CHADEMA hatakama hatahamia CCM lakini atakwenda chama kingine cha upinzani
Huwezi kula nauli ya watu halafu useme siendi kama Zuchu, utakwenda tu wa bwana
Nimalizie kwa kusema "comasava"
Pia soma
Mbona hakuna shida, watu wahame tu na kwenda kule ambako mioyo yao iliko? Tena ni bora kuliko kuishi kinafiki.Baada ya Mchungaji Peter Msigwa kushindwa uchaguzi wa kanda ya Nyasa alisema yeye hakufuata uongozi CHADEMA bali kuwatumikia wananchi hata akiitwa sehemu yoyote atafanyakazi ya kutumikia Watanzania ndani ya chama hicho.
Baada ya kauli hiyo ya kijasiri na kizalendo ya Msigwa, mwamba Godbless Lema aliandika kwenye mitandao yake ya kijamii kuunga mkono kauli hiyo ya Msigwa
Lema alisema hata yeye hana mpango wa kugombea tena uongozi wa kanda ya Kaskazini na kwamba atamfuata Msigwa huko aliko nje ya uongozi ili wakafanye siasa wote
Hatimaye pamoja na kauli ya Msigwa kuwa ataendelea kuwa kada mtiifu wa CHADEMA lakini amefanya maamuzi magumu ya kuhamia CCM na kwenda kufanya siasa zake za kutumikia Wananchi huko CCM, je Lema atamfuata huko huko CCM alikoahidi kuwa atafanyakazi na Msigwa nje ya uongozi?
Inaonyesha Msigwa na Lema ni Waarabu wa Pemba wanajuana kwa vilemba vyao wameshachanga karata zao na kujipanga kufanya maamuzi magumu ya kuhama CHADEMA
Pia inaonyesha waliomshawishi Msigwa kwenda CCM ndio hao hao wako pia nyuma ya Lema na kwamba wamemtanguliza Msigwa kwanza ni swala la muda tu na Lema naye ataunga mkono juhudi wakati wake ukifika
Kuthibitisha hilo hata baada ya Msigwa kuasi CHADEMA na kujiunga CCM Lema bado anamlilia na kusema anatamani kuendelea kufanyakazi Msigwa
Ni swala la muda tu baada ya Mchungaji Msigwa kwenda CCM anayefuatia ni Lema kuondoka CHADEMA hatakama hatahamia CCM lakini atakwenda chama kingine cha upinzani
Huwezi kula nauli ya watu halafu useme siendi kama Zuchu, utakwenda tu wa bwana
Nimalizie kwa kusema "comasava"
Pia soma
Cheo chochote kina (au chapaswa kuwa na) manufaa kwa mchewaji, ila sasa kujinufaisha kwa cheo husika ni kosa kubwa la jinai.Kina Msigwa wanatuthibitishia hivyo vyeo ni ulaji.
Hupendi kula na wewe?
Baada ya Mchungaji Peter Msigwa kushindwa uchaguzi wa kanda ya Nyasa alisema yeye hakufuata uongozi CHADEMA bali kuwatumikia wananchi hata akiitwa sehemu yoyote atafanyakazi ya kutumikia Watanzania ndani ya chama hicho.
Baada ya kauli hiyo ya kijasiri na kizalendo ya Msigwa, mwamba Godbless Lema aliandika kwenye mitandao yake ya kijamii kuunga mkono kauli hiyo ya Msigwa
Lema alisema hata yeye hana mpango wa kugombea tena uongozi wa kanda ya Kaskazini na kwamba atamfuata Msigwa huko aliko nje ya uongozi ili wakafanye siasa wote
Hatimaye pamoja na kauli ya Msigwa kuwa ataendelea kuwa kada mtiifu wa CHADEMA lakini amefanya maamuzi magumu ya kuhamia CCM na kwenda kufanya siasa zake za kutumikia Wananchi huko CCM, je Lema atamfuata huko huko CCM alikoahidi kuwa atafanyakazi na Msigwa nje ya uongozi?
Inaonyesha Msigwa na Lema ni Waarabu wa Pemba wanajuana kwa vilemba vyao wameshachanga karata zao na kujipanga kufanya maamuzi magumu ya kuhama CHADEMA
Pia inaonyesha waliomshawishi Msigwa kwenda CCM ndio hao hao wako pia nyuma ya Lema na kwamba wamemtanguliza Msigwa kwanza ni swala la muda tu na Lema naye ataunga mkono juhudi wakati wake ukifika
Kuthibitisha hilo hata baada ya Msigwa kuasi CHADEMA na kujiunga CCM Lema bado anamlilia na kusema anatamani kuendelea kufanyakazi Msigwa
Ni swala la muda tu baada ya Mchungaji Msigwa kwenda CCM anayefuatia ni Lema kuondoka CHADEMA hatakama hatahamia CCM lakini atakwenda chama kingine cha upinzani
Huwezi kula nauli ya watu halafu useme siendi kama Zuchu, utakwenda tu wa bwana
Nimalizie kwa kusema "comasava"
Pia soma
Chadema hata sisi tuliokuwa si wachambuzi na wadadavuaji wa mambo tayari tumeshagundua madhaifu yao kutoka juu hadi chini.Baada ya Mchungaji Peter Msigwa kushindwa uchaguzi wa kanda ya Nyasa alisema yeye hakufuata uongozi CHADEMA bali kuwatumikia wananchi hata akiitwa sehemu yoyote atafanyakazi ya kutumikia Watanzania ndani ya chama hicho.
Baada ya kauli hiyo ya kijasiri na kizalendo ya Msigwa, mwamba Godbless Lema aliandika kwenye mitandao yake ya kijamii kuunga mkono kauli hiyo ya Msigwa
Lema alisema hata yeye hana mpango wa kugombea tena uongozi wa kanda ya Kaskazini na kwamba atamfuata Msigwa huko aliko nje ya uongozi ili wakafanye siasa wote
Hatimaye pamoja na kauli ya Msigwa kuwa ataendelea kuwa kada mtiifu wa CHADEMA lakini amefanya maamuzi magumu ya kuhamia CCM na kwenda kufanya siasa zake za kutumikia Wananchi huko CCM, je Lema atamfuata huko huko CCM alikoahidi kuwa atafanyakazi na Msigwa nje ya uongozi?
Inaonyesha Msigwa na Lema ni Waarabu wa Pemba wanajuana kwa vilemba vyao wameshachanga karata zao na kujipanga kufanya maamuzi magumu ya kuhama CHADEMA
Pia inaonyesha waliomshawishi Msigwa kwenda CCM ndio hao hao wako pia nyuma ya Lema na kwamba wamemtanguliza Msigwa kwanza ni swala la muda tu na Lema naye ataunga mkono juhudi wakati wake ukifika
Kuthibitisha hilo hata baada ya Msigwa kuasi CHADEMA na kujiunga CCM Lema bado anamlilia na kusema anatamani kuendelea kufanyakazi Msigwa
Ni swala la muda tu baada ya Mchungaji Msigwa kwenda CCM anayefuatia ni Lema kuondoka CHADEMA hatakama hatahamia CCM lakini atakwenda chama kingine cha upinzani
Huwezi kula nauli ya watu halafu useme siendi kama Zuchu, utakwenda tu wa bwana
Nimalizie kwa kusema "comasava"
Pia soma