Godlisten Malisa: Nimetajwa kwenye orodha ya wanaotakiwa kuuawa, naishi kwa hofu, sijui hatma ya watoto wangu

Godlisten Malisa: Nimetajwa kwenye orodha ya wanaotakiwa kuuawa, naishi kwa hofu, sijui hatma ya watoto wangu

Mimi nafikiri dawa ya awa wauaji na watekaji ni kuwaombea albadili au kurjuani, kwamba yeyote aliyeshiriki kupanga, kuteka, kuua, kutoa maagizo na wote wanaousika albadili na kurjuani iwasagesage isiache ata unyayo wa mtu wao na familia zao ili kusudi uchungu wanaoupata walioondokewa na ndugu zao na wao waupate vile vile nafikiri itasaidia, kwakuwa wanaotuhumiwa ndio hao hao wanaojichunguza ulishaona wapi upuuzi wa namna iyo? Yani mwizi ajikamate kwamba ameiba?
 
Mwenyekiti wangu Mhe.Freeman Mbowe, sometimes unakua muungwana sana hata kwenye mambo yasiyohitaji uungwana. Huyu Masauni ungemuacha apewe haki yake ya kikatiba. Hatuwezi kuruhusu mtu aliyesema watu wanaotekwa wanatafuta kiki ahudhurie msiba huu.

Mtu aliyefanya press na kusema Tanzania ni salama na akamdanganya Rais kuwa wanaotekwa wanatengeneza drama unakuaje muungwana kwake? Acha wananchi waoneshe hisia zao. Wananchi wamemkataa na kuamua kumfurusha msibani, wewe kwanini unawatuliza? Kwanini unataka kuwa Mkatoliki zaidi ya Papa? Masauni hastahili uungwana huu.Mpaka leo hatujui walipo akina Soka na wenzake halafu anajileta kwenye msiba?

Mimi nimetajwa kwenye orodha ya wanaotakiwa kuuawa, naishi kwa hofu, sijui hatma ya watoto wangu ambao ni wadogo na wanahitaji malezi yangu. Lakini najiuliza nimeikosea nini nchi hii hadi niwe kwenye list? Kukosoa serikali imekua jinai? Na hata kama ni jinai si mnipeleke mahakamani? Kwanini mtuue?Sativa ametekwa na amewataja watekaji lakini Masauni hajachukua hatua yoyote.

Zipo familia nyingi ambazo zimepoteza wapendwa wao kwa madai ya kutekwa lakini Masauni yupo kimya. Leo wananchi wanamfurusha msibani, Mbowe unamuonea huruma? Huyu Masauni asiye na huruma na maisha ya watanzania wenzake, wewe unamhurumia kwa kufurushwa msibani? Ungemuacha ale matapishi yake.

Please don't be more Catholic than Pope, Mr. Chairman. Unatuvunja moyo. With due respect baba.


Pia Soma:
Mungu awabariki waombolezaji.
Sasa ni wazi Mungu ameweka uamsho ndani ya watanzania,wameacha kukaa kimya.. kila kona sauti zinapazwa.
 
Mwenyekiti wangu Mhe.Freeman Mbowe, sometimes unakua muungwana sana hata kwenye mambo yasiyohitaji uungwana. Huyu Masauni ungemuacha apewe haki yake ya kikatiba. Hatuwezi kuruhusu mtu aliyesema watu wanaotekwa wanatafuta kiki ahudhurie msiba huu.

Mtu aliyefanya press na kusema Tanzania ni salama na akamdanganya Rais kuwa wanaotekwa wanatengeneza drama unakuaje muungwana kwake? Acha wananchi waoneshe hisia zao. Wananchi wamemkataa na kuamua kumfurusha msibani, wewe kwanini unawatuliza? Kwanini unataka kuwa Mkatoliki zaidi ya Papa? Masauni hastahili uungwana huu.Mpaka leo hatujui walipo akina Soka na wenzake halafu anajileta kwenye msiba?

Mimi nimetajwa kwenye orodha ya wanaotakiwa kuuawa, naishi kwa hofu, sijui hatma ya watoto wangu ambao ni wadogo na wanahitaji malezi yangu. Lakini najiuliza nimeikosea nini nchi hii hadi niwe kwenye list? Kukosoa serikali imekua jinai? Na hata kama ni jinai si mnipeleke mahakamani? Kwanini mtuue?Sativa ametekwa na amewataja watekaji lakini Masauni hajachukua hatua yoyote.

Zipo familia nyingi ambazo zimepoteza wapendwa wao kwa madai ya kutekwa lakini Masauni yupo kimya. Leo wananchi wanamfurusha msibani, Mbowe unamuonea huruma? Huyu Masauni asiye na huruma na maisha ya watanzania wenzake, wewe unamhurumia kwa kufurushwa msibani? Ungemuacha ale matapishi yake.

Please don't be more Catholic than Pope, Mr. Chairman. Unatuvunja moyo. With due respect baba.


Pia Soma:
Mtaje aliyemtaja
 
Mbowe aache tabia za upandre yeye anandekeza suluhu wakati watu wanapotea. Ujinga huu
 
Mwenyekiti wangu Mhe.Freeman Mbowe, sometimes unakua muungwana sana hata kwenye mambo yasiyohitaji uungwana. Huyu Masauni ungemuacha apewe haki yake ya kikatiba. Hatuwezi kuruhusu mtu aliyesema watu wanaotekwa wanatafuta kiki ahudhurie msiba huu.

Mtu aliyefanya press na kusema Tanzania ni salama na akamdanganya Rais kuwa wanaotekwa wanatengeneza drama unakuaje muungwana kwake? Acha wananchi waoneshe hisia zao. Wananchi wamemkataa na kuamua kumfurusha msibani, wewe kwanini unawatuliza? Kwanini unataka kuwa Mkatoliki zaidi ya Papa? Masauni hastahili uungwana huu.Mpaka leo hatujui walipo akina Soka na wenzake halafu anajileta kwenye msiba?

Mimi nimetajwa kwenye orodha ya wanaotakiwa kuuawa, naishi kwa hofu, sijui hatma ya watoto wangu ambao ni wadogo na wanahitaji malezi yangu. Lakini najiuliza nimeikosea nini nchi hii hadi niwe kwenye list? Kukosoa serikali imekua jinai? Na hata kama ni jinai si mnipeleke mahakamani? Kwanini mtuue?Sativa ametekwa na amewataja watekaji lakini Masauni hajachukua hatua yoyote.

Zipo familia nyingi ambazo zimepoteza wapendwa wao kwa madai ya kutekwa lakini Masauni yupo kimya. Leo wananchi wanamfurusha msibani, Mbowe unamuonea huruma? Huyu Masauni asiye na huruma na maisha ya watanzania wenzake, wewe unamhurumia kwa kufurushwa msibani? Ungemuacha ale matapishi yake.

Please don't be more Catholic than Pope, Mr. Chairman. Unatuvunja moyo. With due respect baba.


Pia Soma:
I think each and everything now must be discussed 'behind the camera.'
 
Mwenyekiti wangu Mhe.Freeman Mbowe, sometimes unakua muungwana sana hata kwenye mambo yasiyohitaji uungwana. Huyu Masauni ungemuacha apewe haki yake ya kikatiba. Hatuwezi kuruhusu mtu aliyesema watu wanaotekwa wanatafuta kiki ahudhurie msiba huu.

Mtu aliyefanya press na kusema Tanzania ni salama na akamdanganya Rais kuwa wanaotekwa wanatengeneza drama unakuaje muungwana kwake? Acha wananchi waoneshe hisia zao. Wananchi wamemkataa na kuamua kumfurusha msibani, wewe kwanini unawatuliza? Kwanini unataka kuwa Mkatoliki zaidi ya Papa? Masauni hastahili uungwana huu.Mpaka leo hatujui walipo akina Soka na wenzake halafu anajileta kwenye msiba?

Mimi nimetajwa kwenye orodha ya wanaotakiwa kuuawa, naishi kwa hofu, sijui hatma ya watoto wangu ambao ni wadogo na wanahitaji malezi yangu. Lakini najiuliza nimeikosea nini nchi hii hadi niwe kwenye list? Kukosoa serikali imekua jinai? Na hata kama ni jinai si mnipeleke mahakamani? Kwanini mtuue?Sativa ametekwa na amewataja watekaji lakini Masauni hajachukua hatua yoyote.

Zipo familia nyingi ambazo zimepoteza wapendwa wao kwa madai ya kutekwa lakini Masauni yupo kimya. Leo wananchi wanamfurusha msibani, Mbowe unamuonea huruma? Huyu Masauni asiye na huruma na maisha ya watanzania wenzake, wewe unamhurumia kwa kufurushwa msibani? Ungemuacha ale matapishi yake.

Please don't be more Catholic than Pope, Mr. Chairman. Unatuvunja moyo. With due respect baba.


Pia Soma:
"We were forced to install the Paramilitary Wing of uMkhonto we Sizwe (MK) within ANC because the Government of White Minorities in South Africa was terrorising us ANC by using the State Security Forces."

Oliver Reginald Tambo, the former President of African National Congress (ANC) from 1967 to 1993.
 
Back
Top Bottom