Pre GE2025 Godlisten Malissa wa CHADEMA: Hatuwezi kuwa na chama cha watu wanaotukana na wadhalilishaji

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
We call upon the so called activists be punished in any possible way.
 
Wakitukana watu wa vyama vingine wanaitwa makamanda 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣. Vijana wa Chadema huwa hawaeleweki kabisa wana nini kichwani.
 
Jamaa kaamua akae njia panda.
 
Hapana Mkuu, tulumbane kwa hoja anasema Kashfa na maneno makali sasa kashfa ya RUSHWA au kashfa nyingine?!
"Maneno makali" ni nini?

Matusi hayafai matusi ni jinai.
Kwahiyo anasemaje sasa
 
"Matusi na kuchafuana" ni sehemu ya demokrasia na uhuru wa habari. Huwezi kulinda uhuru wa kujieleza bila kulinda "Watukanaji na wazushi." Kama kuna mtu anaona kachafuliwa jina aende yeye binafsi mahakamani. Taasisi haipaswi kuingilia habari za kuchafuana na kutukanana.
 
Malisa ni mnafiki na mpenda ukabila sana. Kwenye post zake huwa anamalizia na matusi ya kichaga. Huyo ni mtu wa kupuuzwa.
 
Team Lisu wafukuzwe kwenye chama , watoto wana matusi sana, hawana staha wamechanganyikiwa kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…