Argument from ignoranceNimecheka sana. Umethibitisha ya kuwa self evident truth huijui kwa maandishi yako mwenyewe, mwisho wa siku maswali mnayakimbia.
Kingine ulitakiwa ukosoe nilichokiandika kuhusu logic, lakini hili huwezi na najua huwezi.
Yaani logic nikufundishe mimi, yaani nimekuja kuona wewe umekariri msamiati ndiyo maana unachokiandika umashindwa kukitetea na kukijengea hoja.
Kwa hiyo alishindwa kuumba ulimwengu ambao utampendeza kila mtu bila kuwa na critics wa ku challenge yale ambayo wanayaona hayako sawa?Hapana sio Yeye kukwepa kitu.
Bali hoja ni kwamba chochote kile ambacho kingekuwepo katika mchakato wa maisha mtu mwenye kulaumu anaweza kukitumia kulaumu kuwa kwa nini kimeletwa kiovu, kwa nini ataabike wakati Mungu wake yupo.
Ukiweza kuuona muda/time kwa undani zaidi ndio utagundua kuwa bila muda hakuna uwepo kwa vitu material. Na muda si lolote bali ni muendelezo wa matukio ndani ya maisha. Kitu kikiweza kukaa katika mazingira ambapo hakuna mabadiliko kati ya hatua/state A kwenda B tunasema hakiwezi kuuexperience Muda. Mabadiliko yana maana tunapotoka hali ya chini kwenda ya juu, tukakua kuelekea hali nzuri zaidi bora zaidi. I trust the process. And I love life, living. And I am willing to keep on doing that forever.
Huyo anaonesha amelelewa na babu yake ambae hatoki vijiwe vya gahwa. Akiokoteokotea vijineno kijiweni anajiona ndiyo kishaelewa kila kitu, anambishia kila mtu kwa asiyo na elimu nayo, ili mradi kasikia yakisemwa na aliyemlipia kahawa siku hiyo ndiyo yashakuwa ni uhalisia.Kumbe kwake ubishi ni default position
Huwa nakwambia kila siku unazeeka vibaya bi mkubwa.Huyo anaonesha amelelewa na babu yake ambae hatoki vijiwe vya gahwa. Akiokoteokotea vijineno kijiweni anajiona ndiyo kishaelewa kila kitu, anambishia kila mtu kwa asiyo na elimu nayo, ili mradi kasikia yakisemwa na aliyemlipia kahawa siku hiyo ndiyo yashakuwa ni uhalisia.
Mimi sina naendelea kusoma kwa walimu wangu.Wewe unayo? Ili nikuulize wewe.
Unaona? hapa ni wewe mwenyewe unataka kutokuwepo na unaona ni sahihi kabisa! sasa ni kwa nini usipokee sambamba na imani yako? Unataka dunia ambayo haina critic na hapo upo, the critic mwenyewe!! serious. Anza wewe mwenyewe kwa kuamua kutokuwa critic na hapohapo dunia nzima itachange na utaishi critic-free-earth papo kwa hapo. Amua kuyaona mema ya dunia na kufumba na kufumbua dunia yako nzima itakuwa njema!!Kwa hiyo alishindwa kuumba ulimwengu ambao utampendeza kila mtu bila kuwa na critics wa ku challenge yale ambayo wanayaona hayako sawa?
Hatukujadili tunakufanyia "analysis" ya "character" yako.Huwa nakwambia kila siku unazeeka vibaya bi mkubwa.
Siyo tu babu yangu yaani babu zangu sijawahi kuwadiriki kabisa achilia mbali kuishi nao. Kuna mambo hupaswi kuyaongelea sababu kukosea ni kukubwa mno kuliko kupatia.
Kuanza kunijadili mimi kunaonyesha wazi kabisa mmeishiwa hoja.
Unajiona ulivyo mjinga, wewe kwa kuwa huna unaona kila mmoja hana kama wewe. Soma...Mimi sina naendelea kusoma kwa walimu wangu.
Sasa si ndiyo kunijadili ? Bi mkubwa unazeeka vibaya.Hatukujadili tunakufanyia "analysis" ya "character" yako.
Bi mkubwa iheshimu elimu aisee, elimu siyo kama kama kwenda dukani au kuingia jf, elimu inataka muda na usomeshwe. Wewe huna elimu katika hili, usiminyane, utavunja mgongo.Unajiona ulivuo mjinga, wewe kwa kuwa huna unaona kila mmoja hana kama wewe. Soma...
nelewa kuwa salat hazijaanzia kwa mtume Muhammad Salla Allahu alyhi wasalaam, kwa mujibu wa Qur'an?
Hakuna uzee mbaya. Hatukujadili, huna cha kujadiliwa, tunakusasambua wazi hapa jukwaani ili ujielewe.Sasa si ndiyo kunijadili ? Bi mkubwa unazeeka vibaya.
Niminyane na kinyangarakata kinachouogopa ukweli wa Qur'an? Unanchekesha.Bi mkubwa iheshimu elimu aisee, elimu siyo kama kama kwenda dukani au kuingia jf, elimu inataka muda na usomeshwe. Wewe huna elimu katika hili, usiminyane, utavunja mgongo.
Shukrani.Hakuna uzee mbaya. Hatukujadili, huna cha kujadiliwa, tunakusasambua wazi hapa jukwaani ili ujielewe.
Sasa si ujibu swali nililo kuuliza, kina kushinda nini ?Niminyane na kinyangarakata kinachouogopa ukweli wa Qur'an? Unanchekesha.
Narudia tena, unafahamau kuwa Salat zimeanza toka kwa Nabii Ibrahim alayhi salaam? Kwa mujibu wa Qur'an?
Usiiogope Qur'an, kama unaelewa hilo unasema naelewa, kama huelewi unasema sielewi.
Qur'an haina shaka kabisa. Unaelewa maana yake nini?
Nimeanza kukujibu zamani sana kwa kukupa ilmu, mpaka ikuingie. Narudia, Je, unafahamu kuwa salat kwa mujibu wa Qur'an haijaanza kwa Mtume Muhammad?Sasa si ujibu swali nililo kuuliza, kina kushinda nini ?
Nimekueleza na nnarudia, je, unajuwa kwa mujibu wa Qur'a sala haijaanzia kwa Mtume Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam?Sasa si ujibu swali nililo kuuliza, kina kushinda nini ?
Unajuaje kwamba kuna kusudi kwa kila jambo?Kuna kusudi kwa kila jambo, na sio kwamba linaletwa na Mungu peke yake. La.
Tunachangia wote kufanya mambo hayo yatokee. We make sh*t happen.
Mimi nitasema hata kama Mungu hapendi watoto wafe kwa utapiamlo, lakini jua pia Mungu hapendi kuingilia..... No. Nazirudia hizi sentensi kwa neno la kufaa zaidi.
Mimi nitasema hata kama Mungu anapenda watoto wapate lishe bora, pia jua kwamba anapenda sisi tufanye maamuzi yetu kama wanadamu, kama jamii bila kuingiliwa kwa mabavu. FREE-WILL
Watoto kufa njaa unaweza kusema ni matokeo ya shughuli za kibinadamu ikiwamo uchafuzi na hasa VITA. Tutajifunzaje ubaya wa vita kama hatutayaishi madhara ya kuchagua njia za kivita? Au ndo ulitaka tuzaliwe na ujuzi wote mojakwamoja tujue vita ni mbaya tu automatically na tukitaka tufanye vita tuzuiliwe kinguvu - Where is the purpose of will then?