Goli la Simba dhidi ya Azam ASFC 2021

Goli la Simba dhidi ya Azam ASFC 2021

Albinoomweusi

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2016
Posts
3,433
Reaction score
8,585
Lile bao hakuna kosa kwa upande wa Simba wala Mwamuzi, ni akili kubwa ya Wachezaji wa Simba kwenye hatua kama zile

Rejea Simba dhidi ya Nkana kwenye Klabu bingwa Afrika, move ya faulo ilikuwa kama ile, Wachezaji wa Nkana walipoteza concentration, Simba wakawahi kuweka (Quick thinking).

Azam au Mtu yoyote ambaye ni Mwanasoka ajue inapotokea faulo yoyote lazima kwanza ukazibe mpira, zibeni mpira huku wengine wanaongea na Mwamuzi.

Wenzetu Ulaya ile mali hata akichezewa faulo anawahi kuidaka kwanza ikae eneo lake, wengine kwenye ukuta na wengine wanakaa karibu na mpira.

Sasa Azam wengine wapo kwa Mwamuzi na wengine wanajipanga, wakaacha mpira kwa Simba, ni akili ya haraka Simba wakaitumia kufunga lile bao, hizo ndio akili za Wazoefu.

Kilichotokea ni kuendelea kujifunza, kukomaa na kujua nini kinahitajika kwa wakati gani.​

IMG_1578.jpg
 
Faulo ilipulizwa.Maana yake mchezo umesimama.

Ili mchezo uendelee lazima refarii aruhusu tena.

Mazingira yale ya mpira hata kama ni kwiki thinking'i siyo sahihi.

Ingekuwa refarii haongei na mtu sawa.

Ila mchezaji mmojawapo wa Azam yupo na refarii,wanaongea.

Hata kama kanuni zinaruhusu jambo hili siyo sahihi.

Kipyenga kipulizwe.

Pale ni karibu na goli,ukuta uwekwe

Wenye faida na pigo wapige mpira.

Mazingira ya namna ile yanatengeneza maamuzi yasiyo sahihi kwa waamuzi,wengine wanaweza kuzuia ile 'move' ya mpira na kuamuru upigwe tena.

Wengine wakaacha lililoanza liendelee.Yaani tunaruhusu maamuzi ya 'utashi' badala ya maamuzi ya sheria.
 
Kifupi refarii kawahujumu Azam

Kwanini afanye mjadala pale, maana yake kiakili amewacheza Azam

Kwakuongea na baadhi yao na mpira kuanza mafichoni ..... refarii hakupaswa kuruhusu ule uhuni

Endapo angekuwa sio sehemu ya majadiliano may be lingeweza kuwa goli
 
Kifupi refarii kawahujumu Azam

Kwanini afanye mjadala pale, maana yake kiakili amewacheza Azam

Kwakuongea na baadhi yao na mpira kuanza mafichoni ..... refarii hakupaswa kuruhusu ule uhuni

Endapo angekuwa sio sehemu ya majadiliano may be lingeweza kuwa goli
Ni sahihi mkuu.

Refarii kwa kuongea na wachezaji ina maana mchezo haupo kwa muda huo.

Ila kama walikuwa wanazungumza wenyewe sawa.
 
Lile bao hakuna kosa kwa upande wa Simba wala Mwamuzi, ni akili kubwa ya Wachezaji wa Simba kwenye hatua kama zile

Rejea Simba dhidi ya Nkana kwenye Klabu bingwa Afrika, move ya faulo ilikuwa kama ile, Wachezaji wa Nkana walipoteza concentration, Simba wakawahi kuweka (Quick thinking)...
Hata Ulaya magoli kama hayo yanafungwa
 
Faulo ilipulizwa.Maana yake mchezo umesimama.

Ili mchezo uendelee lazima refarii aruhusu tena.


Mazingira yale ya mpira hata kama ni kwiki thinking'i siyo sahihi.

Ingekuwa refarii haongei na mtu sawa.

Ila mchezaji mmojawapo wa Azam yupo na refarii,wanaongea.

Hata kama kanuni zinaruhusu jambo hili siyo sahihi.

Kipyenga kipulizwe.

Pale ni karibu na goli,ukuta uwekwe

Wenye faida na pigo wapige mpira.

Mazingira ya namna ile yanatengeneza maamuzi yasiyo sahihi kwa waamuzi,wengine wanaweza kuzuia ile 'move' ya mpira na kuamuru upigwe tena.

Wengine wakaacha lililoanza liendelee.Yaani tunaruhusu maamuzi ya 'utashi' badala ya maamuzi ya sheria.
Siyo lazima refa apulize kipenga kuruhusu mpira uanze, matukio kama hayo tumeyaona sana
 
Marefarii wa bongo takataka
Ni mjinga tu au mtu asiyejua kanunu za mpira anaweza kusema ni goli halali lile. Mpira uliokufa unaanzishwa na refaree.
1. Sasa refarii alikuwa anajadili nini nawachezaji?

2. Kujadiliana na wakinga ukuta tuseme refarii kachangia kuwahujum?

3. Kwanini refa aingilie nakuwapa maelezo azam.... alitaka wapange ukuta? Alitaka wasogee nyuma?

Please
Refa hakuanzisha mpira. 2. Hakuhesabu hatua kwa ajili ya azam kuweka ukuta. Goli haram
Faulo ilipulizwa.Maana yake mchezo umesimama.

Ili mchezo uendelee lazima refarii aruhusu tena.


Mazingira yale ya mpira hata kama ni kwiki thinking'i siyo sahihi.

Ingekuwa refarii haongei na mtu sawa.

Ila mchezaji mmojawapo wa Azam yupo na refarii,wanaongea.

Hata kama kanuni zinaruhusu jambo hili siyo sahihi.

Kipyenga kipulizwe.

Pale ni karibu na goli,ukuta uwekwe

Wenye faida na pigo wapige mpira.

Mazingira ya namna ile yanatengeneza maamuzi yasiyo sahihi kwa waamuzi,wengine wanaweza kuzuia ile 'move' ya mpira na kuamuru upigwe tena.

Wengine wakaacha lililoanza liendelee.Yaani tunaruhusu maamuzi ya 'utashi' badala ya maamuzi ya sheria.
Kifupi refarii kawahujumu Azam

Kwanini afanye mjadala pale, maana yake kiakili amewacheza Azam

Kwakuongea na baadhi yao na mpira kuanza mafichoni ..... refarii hakupaswa kuruhusu ule uhuni

Endapo angekuwa sio sehemu ya majadiliano may be lingeweza kuwa goli
Goli la kipumbavu sana lawama kwa wachezaji wa Azam

Sent using Jamii Forums mobile app


Muwe mnaangalia mpira msiwe kama wamama
 
Humu watu ni mbumbumbu wa sheria za mpira lile goli ni halali kabisa kwani aliyechezewa faulo ndo ana haki ya kuanzisha mpira
Wakati gani??

Refarii anaongea na watu?
 
Faulo ilipulizwa.Maana yake mchezo umesimama.

Ili mchezo uendelee lazima refarii aruhusu tena.


Mazingira yale ya mpira hata kama ni kwiki thinking'i siyo sahihi.

Ingekuwa refarii haongei na mtu sawa.

Ila mchezaji mmojawapo wa Azam yupo na refarii,wanaongea.

Hata kama kanuni zinaruhusu jambo hili siyo sahihi.

Kipyenga kipulizwe.

Pale ni karibu na goli,ukuta uwekwe

Wenye faida na pigo wapige mpira.

Mazingira ya namna ile yanatengeneza maamuzi yasiyo sahihi kwa waamuzi,wengine wanaweza kuzuia ile 'move' ya mpira na kuamuru upigwe tena.

Wengine wakaacha lililoanza liendelee.Yaani tunaruhusu maamuzi ya 'utashi' badala ya maamuzi ya sheria.
Si kila faulo kipenga kinapulizwa,quick start inaruhusiwa,wajilaumu azam kutosimama mbele ya mpira ili kuomba ukuta
 
Back
Top Bottom