nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
Kwani wazir alifikaje hapo ama alikuwa kaganda tu hapo? Hakutokea nyuma na mabeki!? Akawaacha?wananchi wanatisha kwa hasira hata refa alijua kabisa angekataa lile goal wangemla nyama live..vitisho vyao vinafanya kazi kwa kweli kasoro tu mitambo ya magoli inashindwa kufanya mambo sijui gazeti la mwanaspoti lilitudanganya?
View attachment 1824937
kwa utopolo facts hazijalishi ..tangu lini wakawa na facts na tarehe 3 hawaleti team hatucheeezii hatucheeeziiiiiiiiiiKwani wazir alifikaje hapo ama alikuwa kaganda tu hapo? Hakutokea nyuma na mabeki!? Akawaacha?
angalia mpiga pass alkua wap na mpokeaj alikua wap hilo n clear goal no offsidewananchi wanatisha kwa hasira hata refa alijua kabisa angekataa lile goal wangemla nyama live..vitisho vyao vinafanya kazi kwa kweli kasoro tu mitambo ya magoli inashindwa kufanya mambo sijui gazeti la mwanaspoti lilitudanganya?
View attachment 1824937
Unaanzaje kulikataa gori halali kama hilo😂🤣👊! Mwadui wapuuzi sana walipaswa kucheza hivi ili wasishuke daraja 😡!Kwani wazir alifikaje hapo ama alikuwa kaganda tu hapo? Hakutokea nyuma na mabeki!? Akawaacha?
Kwa hii picha unaonaje offside mkuu?wananchi wanatisha kwa hasira hata refa alijua kabisa angekataa lile goal wangemla nyama live..vitisho vyao vinafanya kazi kwa kweli kasoro tu mitambo ya magoli inashindwa kufanya mambo sijui gazeti la mwanaspoti lilitudanganya?
View attachment 1824937
Acha wehu, cheki hapa👇wananchi wanatisha kwa hasira hata refa alijua kabisa angekataa lile goal wangemla nyama live..vitisho vyao vinafanya kazi kwa kweli kasoro tu mitambo ya magoli inashindwa kufanya mambo sijui gazeti la mwanaspoti lilitudanganya?
View attachment 1824937
Hilo goli ni sawa na lile aliloshinda Ronaldo vs Germany....wananchi wanatisha kwa hasira hata refa alijua kabisa angekataa lile goal wangemla nyama live..vitisho vyao vinafanya kazi kwa kweli kasoro tu mitambo ya magoli inashindwa kufanya mambo sijui gazeti la mwanaspoti lilitudanganya?
View attachment 1824937
Huyu ni wa kumfundisha, huenda haelewi sheria ya kuotea inafanyaje kazi.Nenda kashtaki FIFA mbumbumbu wewe
Mbona anayepiga cross yupo mbele ya mfungaji? Au mimi ndiye mwenye makengeza?wananchi wanatisha kwa hasira hata refa alijua kabisa angekataa lile goal wangemla nyama live..vitisho vyao vinafanya kazi kwa kweli kasoro tu mitambo ya magoli inashindwa kufanya mambo sijui gazeti la mwanaspoti lilitudanganya?
View attachment 1824937
Hapo offside hakuna mkuu. Ukiangalia kupitia video mtoa pasi hakupokea na kutoa pasi moja kwa moja (hapo ingekuwa offside), ila alipokea halafua ameburuza mpira. Walichokosea mabeki wa Mwadui ni kusimama badala ya kumkaba Waziri Junior. Vilevile kwenye move namna hiyo usitegemee kucheza offside trick. Hili ni sawa na goli walilofungwa Prisons na Simba (goli la kusawazisha) hapo hapo kwa Mkapa.wananchi wanatisha kwa hasira hata refa alijua kabisa angekataa lile goal wangemla nyama live..vitisho vyao vinafanya kazi kwa kweli kasoro tu mitambo ya magoli inashindwa kufanya mambo sijui gazeti la mwanaspoti lilitudanganya?
View attachment 1824937
Nadhani jana kulikuwa na "Catalyst" maana sio kwa mashuti yale.Unaanzaje kulikataa gori halali kama hilo😂🤣👊! Mwadui wapuuzi sana walipaswa kucheza hivi ili wasishuke daraja 😡!