Goli la Waziri JR ni offside

Goli la Waziri JR ni offside

Katazame video picha hutoielewa
Wakati Kisinda anapokea mpira waziri alikuwa offside yaani alikuwa mbele ya mabeki tayari ,wajati Kisinda anadribble waziri alisogea mstari wa mbele kabisa yaani akawa mbele ya mtoa pasi jambo ambalo bado linamfanya kuwa offside .Kwa picha hapo utasema Tuisila alitoa pasi muda huo Waziri yupo nyuma yake but kwenye video haipo hivyo
Ingependeza kama ungeweka video.

In short, mfungaji hakupelekewa mpira wakati akiwa kwenye offside position. By the time anapelekewa mpira alishakuwa amerudi on position tayari.

Mbona sheria za mpira mnazi complicate wakati ni simple sana wandugu? Au ndiyo huu Umbumbumbu na Uvyura wenu ndiyo shida?
 
Katazame video picha hutoielewa
Wakati Kisinda anapokea mpira waziri alikuwa offside yaani alikuwa mbele ya mabeki tayari ,wajati Kisinda anadribble waziri alisogea mstari wa mbele kabisa yaani akawa mbele ya mtoa pasi jambo ambalo bado linamfanya kuwa offside .Kwa picha hapo utasema Tuisila alitoa pasi muda huo Waziri yupo nyuma yake but kwenye video haipo hivyo
Mkuu hapo hiyo pasi aliyopewa kisinda angepewa moja kwa moja wazir jr ndo angekua offside

Umesema wakati kisinda anapokea pasi wazir alikua offside swali linakuja Sasa

Kwahiyo mchezaji akiwa kwenye offside position halafu asipopewa mpira refa anapuliza offside?
 
Takataka huwezi kuwasikia wakiongelea hili goli ila ingekuwa Simba kafunga goli kama hilo ungewsikia wiki nzima wakilizungumzia.
 
Back
Top Bottom