Goli la Waziri JR ni offside

Ingependeza kama ungeweka video.

In short, mfungaji hakupelekewa mpira wakati akiwa kwenye offside position. By the time anapelekewa mpira alishakuwa amerudi on position tayari.

Mbona sheria za mpira mnazi complicate wakati ni simple sana wandugu? Au ndiyo huu Umbumbumbu na Uvyura wenu ndiyo shida?
 
Mkuu hapo hiyo pasi aliyopewa kisinda angepewa moja kwa moja wazir jr ndo angekua offside

Umesema wakati kisinda anapokea pasi wazir alikua offside swali linakuja Sasa

Kwahiyo mchezaji akiwa kwenye offside position halafu asipopewa mpira refa anapuliza offside?
 
Takataka huwezi kuwasikia wakiongelea hili goli ila ingekuwa Simba kafunga goli kama hilo ungewsikia wiki nzima wakilizungumzia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…