Golikipa wa Azam ndie alistahili kuwa Man of the Match ila kapewa BACCA kwa sababu imepangwa iwe kwa Mzanzibar

Golikipa wa Azam ndie alistahili kuwa Man of the Match ila kapewa BACCA kwa sababu imepangwa iwe kwa Mzanzibar

Yes naungana na wewe angekua yule kipa wao no moja yanga tungemaliza mchezo mapema sana tena kwa goal nyingi
 
Uko sahihi, inaitwa kizungu 'winner takes all!!).

Baka alizuia Azam wasipige zaidi ya shuti moja kwa dkk 120 na alicheza akiwa na maumivu ya misuli. Alistahili ile tuzo. Mustapha tunamsifu ila ubora wake ulitokana na uzembe wa mabeki kitu ambacho Baka hakukubali kitokee kwa Diarra!!

Makolo acheni nongwa jumba lenu bovu mnamuangushia kila mtu hebu endeleeni kupendeza na nafasi yenu ya tatu na fursa ya kucheza ndondo cup aina ya shirikisho!!
Nashindwa kuwaelewa watu kwa Nini hawajaona kazi aliyopiga Bacca Jana imagine Diara alikuwa holiday akidaka mipira nyepesi sana kwa dk 120 na hakufanya foul ndani ya 18 Wala nje ya 18 no card halafu watu wanataka mtu aliyekuwa anaongoza kwa kupoteza mda apewe man of the match tena akiwa na card yes alikuwa na good game ila man of the match hapana
 
Alie angalia Mpira hawez kubishana na mimi M.Mustafa alistahili kua Man of the Match.

Ila nahisi mmeamu hivo coz ya Uzanzibar.

Nimeelewa leo match ilikua inachezwa ila mlikua mnaangalia wachezaji watatu tu wazazimbar ambao ni FEI,MUDATHIRI na BACCA.

Ila all in all BACCA hajastahili sisemei kisa kukosa penati ila kwa namna game ilivyokua.
Jana Azam wangeuza kadi za uanachama, wangewapata wanachama wengi sana toka umakoloni
 
Achana na kushabikia mpira tafuta mchezo mwingine hata wa kibaba na kimama ulishaona wapi kwenye fainali man of the match anapewa mchezaji wa timu iliyoshindwa kwamba kaisaidia kwenye kua ya pili ama jifunze mpira mbumbumbu..
Mbumbumbu wenzako wanakusupport kwamba umetema madini umbumbumbu ni kazi ngumu sana..
 
Alie angalia Mpira hawez kubishana na mimi M.Mustafa alistahili kua Man of the Match.

Ila nahisi mmeamu hivo coz ya Uzanzibar.

Nimeelewa leo match ilikua inachezwa ila mlikua mnaangalia wachezaji watatu tu wazazimbar ambao ni FEI,MUDATHIRI na BACCA.

Ila all in all BACCA hajastahili sisemei kisa kukosa penati ila kwa namna game ilivyokua.
INDEED!mm ni mshabiki wa YANGA, ila Bacca hakustahili!Man of the match nakubaliana na ww alitakiwa awe kipa wa azam.
 
INDEED!mm ni mshabiki wa YANGA, ila Bacca hakustahili!Man of the match nakubaliana na ww alitakiwa awe kipa wa azam.
Sure Mkuu.. wasikilize hata Hersi wakat anahoniwa alisema kabisa yule jamaa nampongeza.
 
Achana na kushabikia mpira tafuta mchezo mwingine hata wa kibaba na kimama ulishaona wapi kwenye fainali man of the match anapewa mchezaji wa timu iliyoshindwa kwamba kaisaidia kwenye kua ya pili ama jifunze mpira mbumbumbu..
Mbumbumbu wenzako wanakusupport kwamba umetema madini umbumbumbu ni kazi ngumu sana..
Nenda jukwaa na La Mapenzi ukapate Tunda kimasihara..huku sio kwako
 
Nashindwa kuwaelewa watu kwa Nini hawajaona kazi aliyopiga Bacca Jana imagine Diara alikuwa holiday akidaka mipira nyepesi sana kwa dk 120 na hakufanya foul ndani ya 18 Wala nje ya 18 no card halafu watu wanataka mtu aliyekuwa anaongoza kwa kupoteza mda apewe man of the match tena akiwa na card yes alikuwa na good game ila man of the match hapana
Asingekua yule golikipa jana ungelala saa 6?
 
Alie angalia Mpira hawez kubishana na mimi M.Mustafa alistahili kua Man of the Match.

Ila nahisi mmeamu hivo coz ya Uzanzibar.

Nimeelewa leo match ilikua inachezwa ila mlikua mnaangalia wachezaji watatu tu wazazimbar ambao ni FEI,MUDATHIRI na BACCA.

Ila all in all BACCA hajastahili sisemei kisa kukosa penati ila kwa namna game ilivyokua.
Umeangalia vigezo vya Mtu kuwa Man of the Match?
Au umeandika tu kufurahisha genge mdau?
 
Back
Top Bottom