Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unaubavu jaribu kunitukana uone kwamba sio kila mmoja mwenye hayo mamlakaHivi ni kwanini unapenda kutukana wenzako. Hii sio sawa
Cry more kolozidad fc shirikisho fcNilisema utopolo de majini walikua wanaandaliwa mazingira ya kushinda kombe..man of match wamempa mzanzibar sababu ya siasa na kubebwa tu.
Hata wewe ni mmoja ya watu ambao ni watukanaji humu jfHivi ni kwanini unapenda kutukana wenzako. Hii sio sawa
Haya hongera na kuwa na asubuhi njema.Hata wewe ni mmoja ya watu ambao ni watukanaji humu jf
Nashindwa kuwaelewa watu kwa Nini hawajaona kazi aliyopiga Bacca Jana imagine Diara alikuwa holiday akidaka mipira nyepesi sana kwa dk 120 na hakufanya foul ndani ya 18 Wala nje ya 18 no card halafu watu wanataka mtu aliyekuwa anaongoza kwa kupoteza mda apewe man of the match tena akiwa na card yes alikuwa na good game ila man of the match hapanaUko sahihi, inaitwa kizungu 'winner takes all!!).
Baka alizuia Azam wasipige zaidi ya shuti moja kwa dkk 120 na alicheza akiwa na maumivu ya misuli. Alistahili ile tuzo. Mustapha tunamsifu ila ubora wake ulitokana na uzembe wa mabeki kitu ambacho Baka hakukubali kitokee kwa Diarra!!
Makolo acheni nongwa jumba lenu bovu mnamuangushia kila mtu hebu endeleeni kupendeza na nafasi yenu ya tatu na fursa ya kucheza ndondo cup aina ya shirikisho!!
Watu kama hao ni wa ku ignoreHivi ni kwanini unapenda kutukana wenzako. Hii sio sawa
Jana Azam wangeuza kadi za uanachama, wangewapata wanachama wengi sana toka umakoloniAlie angalia Mpira hawez kubishana na mimi M.Mustafa alistahili kua Man of the Match.
Ila nahisi mmeamu hivo coz ya Uzanzibar.
Nimeelewa leo match ilikua inachezwa ila mlikua mnaangalia wachezaji watatu tu wazazimbar ambao ni FEI,MUDATHIRI na BACCA.
Ila all in all BACCA hajastahili sisemei kisa kukosa penati ila kwa namna game ilivyokua.
INDEED!mm ni mshabiki wa YANGA, ila Bacca hakustahili!Man of the match nakubaliana na ww alitakiwa awe kipa wa azam.Alie angalia Mpira hawez kubishana na mimi M.Mustafa alistahili kua Man of the Match.
Ila nahisi mmeamu hivo coz ya Uzanzibar.
Nimeelewa leo match ilikua inachezwa ila mlikua mnaangalia wachezaji watatu tu wazazimbar ambao ni FEI,MUDATHIRI na BACCA.
Ila all in all BACCA hajastahili sisemei kisa kukosa penati ila kwa namna game ilivyokua.
Vile ambavyo akili yako ianakwambia Bacca hakustahili.Wew ulitakaje kwani ?
Sure Mkuu.. wasikilize hata Hersi wakat anahoniwa alisema kabisa yule jamaa nampongeza.INDEED!mm ni mshabiki wa YANGA, ila Bacca hakustahili!Man of the match nakubaliana na ww alitakiwa awe kipa wa azam.
Nenda jukwaa na La Mapenzi ukapate Tunda kimasihara..huku sio kwakoAchana na kushabikia mpira tafuta mchezo mwingine hata wa kibaba na kimama ulishaona wapi kwenye fainali man of the match anapewa mchezaji wa timu iliyoshindwa kwamba kaisaidia kwenye kua ya pili ama jifunze mpira mbumbumbu..
Mbumbumbu wenzako wanakusupport kwamba umetema madini umbumbumbu ni kazi ngumu sana..
Asingekua yule golikipa jana ungelala saa 6?Nashindwa kuwaelewa watu kwa Nini hawajaona kazi aliyopiga Bacca Jana imagine Diara alikuwa holiday akidaka mipira nyepesi sana kwa dk 120 na hakufanya foul ndani ya 18 Wala nje ya 18 no card halafu watu wanataka mtu aliyekuwa anaongoza kwa kupoteza mda apewe man of the match tena akiwa na card yes alikuwa na good game ila man of the match hapana
Mimi shabiki wa Azam ila jana Bacca alistahili kupewa man of the match.INDEED!mm ni mshabiki wa YANGA, ila Bacca hakustahili!Man of the match nakubaliana na ww alitakiwa awe kipa wa azam.
Aza-Kolo😁Mimi shabiki wa Azam ila jana Bacca alistahili kupewa man of the match.
Umeangalia vigezo vya Mtu kuwa Man of the Match?Alie angalia Mpira hawez kubishana na mimi M.Mustafa alistahili kua Man of the Match.
Ila nahisi mmeamu hivo coz ya Uzanzibar.
Nimeelewa leo match ilikua inachezwa ila mlikua mnaangalia wachezaji watatu tu wazazimbar ambao ni FEI,MUDATHIRI na BACCA.
Ila all in all BACCA hajastahili sisemei kisa kukosa penati ila kwa namna game ilivyokua.