Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Uko sahihiAlie angalia Mpira hawez kubishana na mimi M.Mustafa alistahili kua Man of the Match.
Ila nahisi mmeamu hivo coz ya Uzanzibar.
Nimeelewa leo match ilikua inachezwa ila mlikua mnaangalia wachezaji watatu tu wazazimbar ambao ni FEI,MUDATHIRI na BACCA.
Ila all in all BACCA hajastahili sisemei kisa kukosa penati ila kwa namna game ilivyokua.