Gone Too Soon: RIP JF Member.....Chetuntu!!!

Gone Too Soon: RIP JF Member.....Chetuntu!!!

sasa utaratibu unakuwaje jamani? hatuendi hata kumpumzisha mwenzetu? au tunaomboleza tu humuhumu jamvini

kama sikosei.....nadhani alishazikwa tokea Jumamosi maeneo ya Mbezi.......
 
What a loss! She was young and energetic. May your soul rest in Peace dear, God loved you most.
Thanks Xpin kwa taarifa kama hizi hata mie nilikuwa sijui kama kuna msiba huku hadi uliponifukunyua kutoka chimbo nilikokuwa nimejificha.
You are very useful in JF babu.
 
Mungu ampe makazi mema katika makazi mema ya peponi -amen&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Aspirin, Kimey na wana JF wengine tuwe pole na msiba.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Tumetoka kwa Mola na kwake ni marejeo yetu
<br />
Acha tu mwalimu, ndio hivyo Gone too soon!
 
Pumzika kwa amani dada yetu! Eeh mungu baba,wape nguvu wanafamilia wote!

(hata hivo nimefarijika sana wana jf jinsi mnavo/tunavyoguswa na matatizo huu ndo upendo! Tuendelee kumwombea apumzike kwa amani)
 
What a loss! She was young and energetic. May your soul rest in Peace dear, God loved you most.
Thanks Xpin kwa taarifa kama hizi hata mie nilikuwa sijui kama kuna msiba huku hadi uliponifukunyua kutoka chimbo nilikokuwa nimejificha.
You are very useful in JF babu.
Binamu we acha tu, siku hizi wanakufa vijana wazee wanazika........Mungu akiamua bana!
 
Binamu we acha tu, siku hizi wanakufa vijana wazee wanazika........Mungu akiamua bana!

Hili linaumiza sana...Kwetu ambao umri umeshaenda...Ni bora Mungu kama akiamua basi tutangulie sie kama tulivyokuja mapema....

Hii biashara ya kutanguliza wajukuu na watoto ni ngumu sana kuibeba katika akili na feelings za kibinadamu!

Tuzidi kuomba tena sana!
 
Dunia ya tatu ukiwa mjazito basi mguu mmoja kaburini mwingine duniani.So sad she wanted to give life instead she has lost hers[/QUOTE

We acha tu mimi huyu dada ni mtu wa pili yaani ninaowafahamu kabisa ndani ya mwezi huu mmoja wamefariki kisa uzazi, nimechoka kabisa hapa wamama tuna tabu ni Mungu tu aingilie kati.

Ng'ang'ana sana kwenye maombi na BWANA atakuokoa kwani KIFO si mpango wake ni mpango wa yule mwovu, Shetani.
 
Back
Top Bottom