Good bye my love safari njema

Good bye my love safari njema

Hatimaye undugu kati yangu na mgawa ubuyu, unataka kuuhalalisha kabisa sio?😅😅.

Nipo hapa kuusubiri huo uzi, mwaka huu nataka nijifunze kitu kutoka kwako dada unique.
Usiikane damu yako tafadhali , kuwa kama Mimi ambaye nimekubali kupambana na damu yangu (hivyo hivyo japo akili mbili kasoro)..!!

Nasikitika kutangaza kuwa utajifunza vingi toka kwangu mpaka utakuwa expert wa kutupia sound na kurusha madini..!!😂
 
Usiikane damu yako tafadhali , kuwa kama Mimi ambaye nimekubali kupambana na damu yangu (hivyo hivyo japo akili mbili kasoro)..!!

Nasikitika kutangaza kuwa utajifunza vingi toka kwangu mpaka utakuwa expert wa kutupia sound na kurusha madini..!!😂
Nitafurahi sana kama utanifanya kuwa expert kwenye hiyo idara, baada ya hapo nadhani hakuna kiumbe yoyote yule atasumbua huko nje.

Kuhusu undugu, ngoja nifikirie kwanza😅.
 
Nitafurahi sana kama utanifanya kuwa expert kwenye hiyo idara, baada ya hapo nadhani hakuna kiumbe yoyote yule atasumbua huko nje.

Kuhusu undugu, ngoja nifikirie kwanza😅.
Hakuna kiumbe atakayefanyaje huko nje..??
Baba Carleen ulishawahi kufa..??😂😂
 
Hakuna kiumbe atakayefanyaje huko nje..??
Baba Carleen ulishawahi kufa..??😂😂

Sasa unataka unifanye expert kisha nife na ujuzi wangu bila kuufanyia kazi? Mwalimu utajuaje kama mwanafunzi wako nimeiva?

Kuhusu kufa, naogopa sana..!😅
 
Sasa unataka unifanye expert kisha nife na ujuzi wangu bila kuufanyia kazi? Mwalimu utajuaje kama mwanafunzi wako nimeiva?

Kuhusu kufa, naogopa sana..!😅
Haha..
Kama unaogopa basi usijaribu huo u-expert maana utachagua ni bora ufe na utamu wako ama ukufe kisha uwatokee watoto wakali ndotoni..!
 
Nashukuru sana baby kwa kunitakia safari njema naomba unitunzie iyo mbususu yangu
 
Haha..
Kama unaogopa basi usijaribu huo u-expert maana utachagua ni bora ufe na utamu wako ama ukufe kisha uwatokee watoto wakali ndotoni..!

Nimechagua kuishi, sitaki kufa na sitafanya huo u-expert wangu huko nje.

Nimefikia uamuzi huo kwakua hauna mtoto mkali mwingine zaidi ya huyu anaeniita baba😁.
 
Can we imagine?

Upo naye kila siku, lakini nyuzi zako za hovyo. Ameondoka, tutarajie mabomu zaidi kutoka kwa Unique..
Acha uchokozi hajui ninachoandikaga yeye anajua tu yupo humu na za ovyoo wewe umetoa zenye akili ??
 
Nimechagua kuishi, sitaki kufa na sitafanya huo u-expert wangu huko nje.

Nimefikia uamuzi huo kwakua hauna mtoto mkali mwingine zaidi ya huyu anaeniita baba😁.
the last para is so sweet like dollars,🤭
I am so blessed walaqhi'..!!
 
Back
Top Bottom