Usiikane damu yako tafadhali , kuwa kama Mimi ambaye nimekubali kupambana na damu yangu (hivyo hivyo japo akili mbili kasoro)..!!Hatimaye undugu kati yangu na mgawa ubuyu, unataka kuuhalalisha kabisa sio?😅😅.
Nipo hapa kuusubiri huo uzi, mwaka huu nataka nijifunze kitu kutoka kwako dada unique.
Nitafurahi sana kama utanifanya kuwa expert kwenye hiyo idara, baada ya hapo nadhani hakuna kiumbe yoyote yule atasumbua huko nje.Usiikane damu yako tafadhali , kuwa kama Mimi ambaye nimekubali kupambana na damu yangu (hivyo hivyo japo akili mbili kasoro)..!!
Nasikitika kutangaza kuwa utajifunza vingi toka kwangu mpaka utakuwa expert wa kutupia sound na kurusha madini..!!😂
Hakuna kiumbe atakayefanyaje huko nje..??Nitafurahi sana kama utanifanya kuwa expert kwenye hiyo idara, baada ya hapo nadhani hakuna kiumbe yoyote yule atasumbua huko nje.
Kuhusu undugu, ngoja nifikirie kwanza😅.
Hakuna kiumbe atakayefanyaje huko nje..??
Baba Carleen ulishawahi kufa..??😂😂
Haha..Sasa unataka unifanye expert kisha nife na ujuzi wangu bila kuufanyia kazi? Mwalimu utajuaje kama mwanafunzi wako nimeiva?
Kuhusu kufa, naogopa sana..!😅
WivuuuNyege tu hizo.hakuna lolote hapo
ana mastress yake anakuja kujipooza huku,anajitoa ufahamuHuyu mwanamama anapenda kupost ujinga sana....kila nikifungua jf nakutana na Post zake za kiovyo tuuuu..hebu badilika achana na hizi mambo, sasa hii post inawasaidia vipi wanaJF!
Haha..
Kama unaogopa basi usijaribu huo u-expert maana utachagua ni bora ufe na utamu wako ama ukufe kisha uwatokee watoto wakali ndotoni..!
Acha uchokozi hajui ninachoandikaga yeye anajua tu yupo humu na za ovyoo wewe umetoa zenye akili ??Can we imagine?
Upo naye kila siku, lakini nyuzi zako za hovyo. Ameondoka, tutarajie mabomu zaidi kutoka kwa Unique..
MxiuuuNashukuru sana baby kwa kunitakia safari njema naomba unitunzie iyo mbususu yangu
Halafu umetengeneza avatar imeandikwa jina lako ila zuri ila mie nilipenda ile yakale kadada ilikuwa poa sanaNisamehe cute,sirudii tena❤
Sawa cute,nitairudisha mamaHalafu umetengeneza avatar imeandikwa jina lako ila zuri ila mie nilipenda ile yakale kadada ilikuwa poa sana
the last para is so sweet like dollars,🤭Nimechagua kuishi, sitaki kufa na sitafanya huo u-expert wangu huko nje.
Nimefikia uamuzi huo kwakua hauna mtoto mkali mwingine zaidi ya huyu anaeniita baba😁.