Good bye my love safari njema

Mapenzi mubashara achana na mipakashume dear isije haribu penzi moto
 
Maana halisi ya kuwa kichwa panzi lofa ndio hii
Mwanamke hajaambiwa atafute ameambiwa azae Kwa uchungu so ulofa Siko huko aisee na hujanijua halafu kingine hata kama Sina pesa Sina shida course Mungu hajaniacha yupo na Mimi mwanzo mwishoo .

Na hajawahi kuniacha na haitokaa
 
Umetoroka tena clinic ?
 
Mwanamke hajaambiwa atafute ameambiwa azae Kwa uchungu so ulofa Siko huko aisee na hujanijua halafu kingine hata kama Sina pesa Sina shida course Mungu hajaniacha yupo na Mimi mwanzo mwishoo .

Na hajawahi kuniacha na haitokaa
Kweli ww ni kiazi nani kakuuliza yote hayo?
 
Mbinu za January huwa ni zaidi ya NDOIGE
 
[emoji23] ni mwanaume halafu huyu nimemgundua
 
Jf kuna watu wanapenda ujinga sana hii kweli ni thread ya mtu kuanzisha au watu wanajifunza kuandika essay
 
Jf kuna watu wanapenda ujinga sana hii kweli ni thread ya mtu kuanzisha au watu wanajifunza kuandika essay
Mnashida sana wanaume wa humu mnadhani tumeshindwa maisha pasipo nyie eti hakuna mwanamke anayependwa au ambaye hatoendelea jf nyie ndio machizi kabisa na Sasa naweka nyuzi zozote zitakazonihusu hata kama nikilalwa nitaweka
 
Mbinu za January huwa ni zaidi ya NDOIGE
Nani awatake wajinga kama nyie ??
Wachache tu ndio wamejipanga hapa wengine maskini kabisa kama mtu anapanga mshahara wa laki tatu kijijini kwao ndio wanakula peleka tumbo gesi huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…