Good News: Nimepata watoto mapacha mmoja Benjamin mwingine Netanyahu

Hongera πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Mashine hizo za Dunia.

Huyo mzee ni tegemeo la miaka mingi sana.
Nakumbuka tangu niko Mdogo jamaa aliwahi kuwa nafasi hiyo baada ya miaka wametejesha.
 
Mimi mapacha wangu ni Ehud na BarakπŸ˜€πŸ˜…

A.k.a mashoto πŸ’ͺ
 
Mmoja ungemuita jina la yule waziri wao wa ulinzi anaeongea kakunja uso kama yupo msalani anakata gogo
 
Hongera πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Mashine hizo za Dunia.

Huyo mzee ni tegemeo la miaka mingi sana.
Nakumbuka tangu niko Mdogo jamaa aliwahi kuwa nafasi hiyo baada ya miaka wametejesha.
Asante sana mkuu, mzee anatisha sana. Ni lazima aenziwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…