Siyo "upoze" ni "upooze"Ahaaa naona umeona upoze machungu kwa tusi
Sawa...Zbar ni pepo ya mashoga hapa East Africa na hakuna watu wenye majina ya Benjamin ama Netanyahu
Amna shida msambaaSiyo "upoze" ni "upooze"
Siyo "Amna shida" ni "Hamna shida"Amna shida msambaa
AiseeSiyo "Amna shida" ni "Hamna shida"
Nataka nikupelekee moto kama Iran anavyompelekea moto Israel
Hapa umeipatia ila punguza e mojaAisee
Duh kumekuchaHapa umeipatia ila punguza e moja
Asante sana mkuu, mzee anatisha sana. Ni lazima aenziwe.Hongera πππ
Mashine hizo za Dunia.
Huyo mzee ni tegemeo la miaka mingi sana.
Nakumbuka tangu niko Mdogo jamaa aliwahi kuwa nafasi hiyo baada ya miaka wametejesha.
AsanteeeeeeMajina yana siri kubwa, nimeita majina yenye nguvu ya kutikisa dunia.
NaamAsanteeeeee