Good News: Nimepata watoto mapacha mmoja Benjamin mwingine Netanyahu

Good News: Nimepata watoto mapacha mmoja Benjamin mwingine Netanyahu

Hongera 😆😆😆

Mashine hizo za Dunia.

Huyo mzee ni tegemeo la miaka mingi sana.
Nakumbuka tangu niko Mdogo jamaa aliwahi kuwa nafasi hiyo baada ya miaka wametejesha.
 
Mimi mapacha wangu ni Ehud na Barak😀😅

A.k.a mashoto 💪
 
Mmoja ungemuita jina la yule waziri wao wa ulinzi anaeongea kakunja uso kama yupo msalani anakata gogo
 
Back
Top Bottom