Good News: Nimepata watoto mapacha mmoja Benjamin mwingine Netanyahu

Good News: Nimepata watoto mapacha mmoja Benjamin mwingine Netanyahu

Mazuzu hawataisha duniani kwa mtindo huu. Kwani huna majina ya ukoo wenu hadi ujipendekeze kwa majina ya watu hata hawakufahamu.

Stupidity will never end hasa kwa ngozi nyeusi.
 
Hongera mkuu mmoja ungemwita Herzi Halevi ama Yoav Gallant
 
Waite hata Milambo au Mkwawa kuliko hayo majina ya mashoga!
 
Netanyahu ..netapaka utakuja kumpa shida dogo shule kutaniwa
 
Kwahiyo hao watoto wako wakiwa MASHOGA kama mwenye jina lake utaleylta uzi wa kuwasaport...?
Maana Benjamin Netanyahu ni MKUU WA MASHOGA na anongoza Taifa la MASHOGA.
Zbar ni pepo ya mashoga hapa East Africa na hakuna watu wenye majina ya Benjamin ama Netanyahu
 
Back
Top Bottom