Fatima binti hemedi
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 1,665
- 2,328
unajuaje ilikuwa ni ya nyerere, ya balali uliiona??Wooihy sijaelewa kabisa hii mada yako. Ila labda niseme tusingeona maiti ya Nyerere hata tusingeamini kama amefariki. Sasa huyo shosti wako aliyefariki unaulizwa habari zake wewe unaleta mambo za strawman hapa na hutoi majibu yanoyoeleweka. Hebu wacha hizi njerenje na shenanigans wee manzi.
Kama wanautaka wazimu, wataupata wazimu 200%Aidha, naomba tusianze matusi kumuenzi marehemu
are you a coroner?...tukupeleke kaburini ukachimbue ufanye postmortem?Huyo marehemu uwepo wake tu ulikuwa na utata,ajabu hadi kifo chake bado pia kuna utata.
Halafu mtu ukiongea unaonekana kama una chuki.
wawache wawaze wanavyotaka....siye tutamuenzi DadaetuAhmale Lerato Bonginkosi alias Umkontho We Sizwe: 26 July 1984-07 March 2018
Tutamtafuta, tumfahamu undani wakeNa wewe mwenyewe mbona utata, hivi tz mbogo we hasa ni nani?
Kama zakuwasha pilipili, wakunaji tupoWooihy sijaelewa kabisa hii mada yako. Ila labda niseme tusingeona maiti ya Nyerere hata tusingeamini kama amefariki. Sasa huyo shosti wako aliyefariki unaulizwa habari zake wewe unaleta mambo za strawman hapa na hutoi majibu yanoyoeleweka. Hebu wacha hizi njerenje na shenanigans wee manzi.
Invite us plzzzMovement ipo, ndio huyo dada alikuwa mwanaharakati pia, mwaka Jana tulikuwa naepamoja humu jf.... movement ipo Moto....sema underground fire
Warmly welcomedInvite us plzzz
TunausubiriWaraka aliuandika mwaka juzi, Wala si wakati wa kuumwa kwake
born from the noble halls of Zion,bless you princessItanipendaje zaidi kwani mimi ndiyo marihemu, au Uunajitia kunijua sana eeeh ?
Duh, hapa nimeachwa Solemba. Kwa lugha kizulu "Umkhondo we Sizwe" maana yake "The Spear of the Nation". Sasa hii nini tena? Kilangila.Ahmale Lerato Bonginkosi alias Umkontho We Sizwe: 26 July 1984-07 March 2018
Kukuambia uachane na hizi mambo zako za kipuuzi za kujizushia kifo ndiyo unaona chuki na wewe ? This world really needs an enema, hebu muwe mnamgrow up basi.Huyo marehemu uwepo wake tu ulikuwa na utata,ajabu hadi kifo chake bado pia kuna utata.
Halafu mtu ukiongea unaonekana kama una chuki.
Kwani lazima,ujue, na kuona maiti ya kila mtu? Mbona wengi tu, wameondoka bila kujulikana, Kuna mambo mengine, yako,hivyo, hivyo kama yalivyo...
Aidha, naomba tusianze matusi kumuenzi marehemu
unajuaje ilikuwa ni ya nyerere, ya balali uliiona??
Kama zakuwasha pilipili, wakunaji tupo
born from the noble halls of Zion,bless you princess
Kwikwikwikwikwi imedukuliwa mkuu.Mbona sielewi..post yangu imeongezwa maneno!!
Ipi namna gani? Tuambie. Au ni ile ya marasta toka Jamaica kuhamia Ethiopia? Au ni ile ya waethiopia kupenda kuzamia Afrika Kusini? Naona kama imebaki vitabuni.Movement ipo, ila wewe ndio haupo katika movement...haikuwahi kukoma
Hivi leo tunao ma-revolutionaries kama wale wa miaka ya 1960 na 1970. Tunao???hatuko huru kusema chochote zaidi ya hapa, kwa mujibu wa sheria..zaidi ya waraka aliouacha Umkontho kwa wanaharakati wote...an open letter to all the revolutionaries
Sija kuelewa hivyo hivyo niunganisha hapo bintiGet some help, you are going senile.