Tahariri yenye Taharuri
JF-Expert Member
- Dec 23, 2017
- 416
- 499
Wapo....Hivi leo tunao ma-revolutionaries kama wale wa miaka ya 1960 na 1970. Tunao???
Ni wapi nilipokukosea?Sija kuelewa hivyo hivyo niunganisha hapo binti
Movement ni ya kujitambua....zaidiIpi namna gani? Tuambie. Au ni ile ya marasta toka Jamaica kuhamia Ethiopia? Au ni ile ya waethiopia kupenda kuzamia Afrika Kusini? Naona kama imebaki vitabuni.
Hilo sio jina lake ni a.k.aDuh, hapa nimeachwa Solemba. Kwa lugha kizulu "Umkhondo we Sizwe" maana yake "The Spear of the Nation". Sasa hii nini tena? Kilangila.
talk tells and short tempers..huu uzi we umeingia chaka binti....mbona hivi????Kukuambia uachane na hizi mambo zako za kipuuzi za kujizushia kifo ndiyo unaona chuki sana ? This world really needs an enema, hebu muwe mnamgrow up basi.
tupo strong, na Africa tutakapoiunganisha na kidonda cha somalia kitaponyekaGet some help, you are going senile.
Unaruhusiwa kuwaza upendavyo, wengine marehemu tulimfahamu! Lakini ukiambiwa yesu hakuzaliwa, hakuishi, hakusulubiwa wala kamwe hatorudi tena unabisha sana, Wala huhoji, ila unaona wepesi sana kusingizia watu wana multiple identities,na balali je mbona alizikwa ulaya?
sawa tunashukurunina kila sababu ya kuamini hii ni thread ya kijinga kuliko thread zote mwezi huu wa july.
Ila unaamini Utaenda peponi, na kupewa mabikira uwaoe???wewe ni hao wenzio wachache mnaojifanya kujua habari za huyo marehemu wenu wa kufikirika ni wajinga.
Kufikirika....unanikumbusha shaaban Robert mwandishi wetu adhimu, ila usisaha u kusadikikawewe ni hao wenzio wachache mnaojifanya kujua habari za huyo marehemu wenu wa kufikirika ni wajinga.
wajinga wakubwa nyinyi.talk tells and short tempers..huu uzi we umeingia chaka binti....mbona hivi????
Kama msiba haukuhusu, na movement hii, unataka nini?wajinga wakubwa nyinyi.
unataka tukuletee maiti?? Yakukwaza nini?wewe na hao wenzio wachache mnaojifanya kujua habari za huyo marehemu wenu wa kufikirika ni wajinga.
Waliomjua, wanajua kinaendelea nini, pole kwako, tatizo mko nje ya inner circlemara merehemu kafa miezi mitatu iliyopita...mara account yake ipo chini ya wanasheria.... mara hivi mara vile....yaani porojo tupu.
kama hayatuhusu, kwanini mmeleta hii habari hapa kwenye public forum?si mgeunda tu group la whatsapp ili mjadili kivyenu.Kama msiba haukuhusu, na movement hii, unataka nini?
Sababu, haziko katika mamlaka yetu, kuzitoa....kama hayatuhusu, kwanini mmeleta hii habari hapa kwenye public forum?si mgeunda tu group la whatsapp ili mjadili kivyenu.
mbona mkiulizwa details za huyo marehemu wenu hamtaki kuzitoa, kama sio ujinga ni nini?. stupid thread of month.