Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lengo ni Gudubhayi
Don mtu mbaya.Hongera sana, nadhani ni vema ukaiweka itunes, na online stores zingine. Umetisha sana
Mziki wako unagonga mbali na sio apa tu Tanzania,huu wimbo wiki tu hautakosa viewers milioni tano,don mkali
Duh,hilo sauti sasaa
Don naona mavazi ni swala mtambuka kwako, wasiliana na maDon wenzio kama akina don miguu ya kuku wakufadhili
Lazima album itagonga Platinum sales
nakusahauri imba kisukuma utavunja pesa za kina nyani ngabu.
The Don Himself, ahsante kwa kufurahisha masikio yetu kwa nyimbo nzuri ya Ung'eng'e .....nakuona mbali sana ukipasua anga za kwa Trump[emoji1434][emoji1434][emoji1434][emoji1434][emoji1434]
wimbo wetu pendwa soon unagonga 1k views, hongeraView attachment 1540094
alafu mashabiki zako tunaomba remix ya "Im a solder"
Unaimba Gudubai lakini umedai unaitwa goodbye, kipi ni kipi?
Gudubahi Hahahahahaaaha