"GOODBYEE" wimbo mpya wa pili kutoka wa DON NALIMISON. Umetoka rasmi leo

"GOODBYEE" wimbo mpya wa pili kutoka wa DON NALIMISON. Umetoka rasmi leo

mkuu ni wapi nitapata ngoma za bongo fleva za kitambo zenye Quality nzuri hata nikizipiga kwenye subwoofer la kichina hazitoleta distortion

Nenda kwa Mamu store kariakoo(GMC) au audio visual
 
mkuu ni wapi nitapata ngoma za bongo fleva za kitambo zenye Quality nzuri hata nikizipiga kwenye subwoofer la kichina hazitoleta distortion
Aisee sijui...ila kuna uzi ulipandishwa humu wa ngoma alizoproduce Majani ngoja nikiupata nitakutag
 
Back
Top Bottom