Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,380
- Thread starter
-
- #61
mkuu ni wapi nitapata ngoma za bongo fleva za kitambo zenye Quality nzuri hata nikizipiga kwenye subwoofer la kichina hazitoleta distortion
Aisee sijui...ila kuna uzi ulipandishwa humu wa ngoma alizoproduce Majani ngoja nikiupata nitakutagmkuu ni wapi nitapata ngoma za bongo fleva za kitambo zenye Quality nzuri hata nikizipiga kwenye subwoofer la kichina hazitoleta distortion
Aisee sijui...ila kuna uzi ulipandishwa humu wa ngoma alizoproduce Majani ngoja nikiupata nitakutag
nitashukuru sana broAisee sijui...ila kuna uzi ulipandishwa humu wa ngoma alizoproduce Majani ngoja nikiupata nitakutag
Yani nilikuwa sijachheka k kiasi kikubw kama nilivyocheka leo baada ya kusikiliza huu wimbo. Yani nimecheka na bado inacheka. DON umetisha
Yani nilikuwa sijachheka k kiasi kikubw kama nilivyocheka leo baada ya kusikiliza huu wimbo. Yani nimecheka na bado inacheka. DON umetisha
Kaka wimbo umetulia