Goodluck Gozbert sio mwimbaji wa Gospel

Inasikitisha sana, pamoja na kuwa teknolojia na intaneti vina faida lukuki kwa watumiaji, lakini hasara zake bado ni kubwa sana. Siku hizi mtu yeyote tu anaweza akabishana na mtu aliyekaa darasani kwa miaka hata 7 na mwenye uzoefu wa taaluma fulani kwa miaka zaidi ya 6+. Hatari tupu.
 
Yes technolojia imesaidia kuwaambia wasomi kuwa theory za darasani ni tofauti na uhalisia wa maisha...
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aijalishi upo kwenye imani gani ila kwa Miungu na mitume wote ujumbe ni mmoja tu "Mpende jirani yako kama nafsi yako"....Ukisema unampenda mtu bila matendo si kitu....Matendo ndiyo kipimo pekee...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matoleo yapi hayo ya Biblia unayo refer ?, Neno la Mungu ni lilelile Jana, Leo, Kesho na hata milele,.
 
Hapa nilipo nasikiliza rhumba gospel (muzina) ya mzee Tabu ley .
 
H

Hamna gospel pale clouds wanamdanganya akaimbe kwenye fiesta washabiki wameshika mibia mikononi wengine wanabakana,wamevaa vichupi tu gospel gani!..ni staili tu ya kupiga hela
Wamebakana? ushaidi upo?

hata kama wamebakana kwani neno la Mungu si limeletwa kwa ajili yao? au lililetwa kwa wasafi wa moyo? la hasha na watu hao duniani sidhani kama wapo neno lililetwa kwa wakosefu na wachafu wa moyo Gozbet kuiba fiestani sioni kama ni kosa maana wapo wanao furahia na kubarikiwa kwa uimbaji

Hao wanao bakana ni sawa na anae ingia kanisani/msikitini kutafuta demu alafu lawama umtupie Padri/shekh au Wanakwaya
 
[emoji23][emoji23][emoji23],,,"An expression of gospel"....Daaah!!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matoleo yapi hayo ya Biblia unayo refer ?, Neno la Mungu ni lilelile Jana, Leo, Kesho na hata milele,.
Tatizo haufuatilii. Unaleta hoja kwa mambo ambayo hauna uhakika nayo... Fuatilia kwanza, ndugu yangu.
 
Mkuu, mbona akina boni mwitege na rose mhando walikuw wanaweka watu wanacheza viduku na bado mlikuwa mnawachukulia waimba gospel?
Mbona goespel ya bonny mwaitege iko kama takeu style ya mziki wa mr nice?
Mbona rose mhando gospel yake ilikuwa kama sebene za wakongo?
Gospel inabadirika kama ilivyo kwa mziki mwingine maana gospel ya miaka ya 80 iko tofauti na gospel wanayoimba akina bahat bukuku na wengine.
Goodlucky anaimba habari njema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…