Goodluck Gozbert unaelekea wapi?

Goodluck Gozbert unaelekea wapi?

Wakuu habari

Hivi hii nyimbo mpya aliyoitoa Goodluck gozbert ni ya dini au maana sio kwa maudhui Yale kwa upande wa video na audio pia

Tatizo lenu mmekariri nyimbo ya Gospel ni mpaka video ichukuliwe Mbele ya swimming pool au mbele ya hotel tuuu..

Namsifu kijana kwa audio na video aliyotoa, inaonyesha Gospel imekuwa na pia anafikisha ujumbe kirahisi kwa vijana
 
Angalia uchezaji ule mavazi na hata muundo wa nyimbo ni wakidunia sana
Tatizo lenu mmekariri nyimbo ya Gospel ni mpaka video ichukuliwe Mbele ya swimming pool au mbele ya hotel tuuu..

Namsifu kijana kwa audio na video aliyotoa, inaonyesha Gospel imekuwa na pia anafikisha ujumbe kirahisi kwa vijana
 
Wakuu habari

Hivi hii nyimbo mpya aliyoitoa Goodluck gozbert ni ya dini au maana sio kwa maudhui Yale kwa upande wa video na audio pia

Mkuu

Ana crossover kwenye mainstream!

Usidhani unaweza mpangia artist cha kufanya!

Unataka kumuwekea limit ya ubunifu wake!

Kama miziki mumeiweka kwenye boxes kwa definitions zenu rigid

Basi yeye ana redefine na kuweka limits anazotaka kama artist!

Kama wewe binafsi unaona sio dini ni sawa na kama unaona dini ni sawa!

Judge the way you want!

Na hivyo unachofanya ndio kinatakiwa kama hadhira!

Judge weee,then jipatie majibu mwenyewe,then kalale,then hakuna kitu!

Muacheni!
 
Huo wimbo hauna maadili ya kidini, hakuna ubunifu wowote kiufupi ameingia Choo cha kike, hyo ni bongo fleva, achague kusuka au kunyoa kama anaimba dini aimbe kama ni bongo fleva aimbe bongo fleva, kipaji chake kipo kwenye dini ila Moyo wake unatamani bongo fleva, na hapa ndo kajionyesha rangi yake halisi , achague kimoja kuunganisha vyote atajipigiza kwenye Jiwe......
 
So yaani MUNGU apewe vibaya na shetani ndo apewe vizuri?...
Yaan MUNGU apewe nyimbo za hovyo, zisizosikika vizuri alafu shetani apewe melody nzuri?
MUNGU ana wivu pia so anahitaji tumwimbie vizuri na tumchezee pia!
Daudi alimchezea MUNGU hadi nguo zikamvuka unajua alicheza kwa viwango gani?
Tusiaminishane kwamba nyimbo mambo mabaya na madhaifu ndo ya MUNGU na mazuri ndo ya shetani
 
Shida iko wapi?? Tatizo mpaka usikie anasema, "Yesu blah blabh." Mbona mule mashairi yanaeleweka ni kwaya kabisa.
 
Mkuu

Ana crossover kwenye mainstream!

Usidhani unaweza mpangia artist cha kufanya!

Unataka kumuwekea limit ya ubunifu wake!

Kama miziki mumeiweka kwenye boxes kwa definitions zenu rigid

Basi yeye ana redefine na kuweka limits anazotaka kama artist!

Kama wewe binafsi unaona sio dini ni sawa na kama unaona dini ni sawa!

Judge the way you want!

Na hivyo unachofanya ndio kinatakiwa kama hadhira!

Judge weee,then jipatie majibu mwenyewe,then kalale,then hakuna kitu!

Muacheni!
good point mkuu huwezi kuwaridhisha binadam
 
Wakuu habari

Hivi hii nyimbo mpya aliyoitoa Goodluck Gozbert ni ya dini au maana sio kwa maudhui Yale kwa upande wa video na audio pia
Mashairi ya wimbo hayana shida hata kidogo, maana anaelezea Jinsi maisha anayoishi ambavyo hayampendezi Mungu (Hapa hakuna shida)

Mavazi aliyovaa binafsi pale mwanzo na sehem nyingine ya shooting hayana shida hata kidogo, maana yanaakisi maisha ya kijana ambaye mwenendo wa maisha yake hayampendezi Mungu (Hapa hakuna shida)

Uchezaji wa wacheza show wake, ni style tu ya kunogesha wimbo, na kuamua kutoka kivingine na kwa radha toafauti (Hapa hakuna shida)
 
Back
Top Bottom