Lamar BlacAmerican
JF-Expert Member
- Aug 9, 2013
- 974
- 2,305
Hii ni Huawei Mate 20 pro..hawako vibaya sana uzuri wa google ni color science yao iko vizuri..Kweli chief, Google pixel 3xl camera yake ni nzuri sasa yan sana. Ni moja kati ya simu ambazo ni wachache sana wanazo.
Huawei P30 pro daahh nisishike hela karibuni, hiz simu kwa kipengele cha camera wameua wengi
Samsung tab 4 vp ina supportHizo M/J/A hazina support nzur ya gcam.. mostly hata camera api ziko disabled na developer hazina
Kwa hyo kwa sumsang ni S6 kwenda mbele had s10Hapana mkuu
Una uhakika gcam uliyo install ni ya simu yako?Natumia simu ya oppo f9
Nimeshaipakua gcam ila ina shida mbili
Upande wa portrait hsufanyi kazi unaonesha hivyo tu
Picha ninazozipiga sijui nazipatajrView attachment 1511068
vip Mimi mwenye Galaxy S6Huawei mate 8 mkuu naomba Link
Poa poa mkuuHuawei nying hazisupport..ngoja nichek hii yako
Mkuu naweza kupata Gcam ya galaxy note 10+?. Model SM-N9750Huawei nying hazisupport..ngoja nichek hii yako
Hamna portrait mode kwenye simu kama hizo?Mkuu naweza kupata Gcam ya galaxy note 10+?. Model SM-N9750
Nitaipata wapi ya simu yangu naomba link niidownloadUna uhakika gcam uliyo install ni ya simu yako?
Mkuu kuna jamaa anauliza kama kuna gcam version ya infinix note 7Hapana mkuu
Hii ni Huawei Mate 20 pro..hawako vibaya sana uzuri wa google ni color science yao iko vizuri..View attachment 1503829