Tafuta configuration boss,gcam haiwezi fanana na stock cameraWakuu nimegundua kitu kwenye Samsung galaxy note 10 plus kamera yake iko vzr hakuna tofauti na gcam niyoinstall picha Zina ubora sawa. Hata YouTube kuna dada alikuwa anafanya comparison Kati ya camera ya simu na gcam zote zina ubora sawa nimeamua kufuta gcam maana zinalingana
Yaani unamaanisha tujikune?watu wa Tecno fanya kama unanyoosha mkono na kupeleka kwenye kidevu........
nimejaribu kuistall hii imekubali kwenye redmi note 8pro lakini quality iko chini,je kuna sehemu nakosea o kuna link tofauti??msaada mkuuNGCam_7.4.104-v1.7
MediaFire is a simple to use free service that lets you put all your photos, documents, music, and video in a single place so you can access them anywhere and share them everywhere.www.mediafire.com
Weka hii kwanza tuone
Mkuu samsung A21s napataje camera yakeTafuta configuration boss,gcam haiwezi fanana na stock camera
hellonimejaribu kuistall hii imekubali kwenye redmi note 8pro lakini quality iko chini,je kuna sehemu nakosea o kuna link tofauti??msaada mkuu
SnapdragonExynos au snapdragon?
Nikita ni unyama sana.Nikita haijawah kumuacha mtu salama [emoji119]
Wacha niwaamshe kidogo maana naona Uzi umepoa. 😄Mzee unatunyosha sana [emoji119][emoji23]
Na wa INFINIX je wamekumbuwa?watu wa Tecno fanya kama unanyoosha mkono na kupeleka kwenye kidevu........
INFINIX NOTE 8infinix ipi mkuu tujue chipset yake kwanza
Mbna nimejaribu inahitaji kulipiashukran mkuu kcamp nmefanikiw kuinstall ni camera moja nomaa sanaaa
Umetumia configuration yoyote au camera tu?
camera tuUmetumia configuration yoyote au camera tu?