Umetisha mkuu kali sanaDaaaah ni kisanga na kilo 100View attachment 1153484
Kwaiyo sisi tunaotumia Tecno tuachane nayo?
SM-G92A5Model no
Sm 935f , halafu hzi edge series zinaboa kinyama technology yke hasa kwnye kuplay video yaani video mda mwngine ni full hd unaiona kma ya 240p inakera sanaaaModel ipi?
Nashukuru mkuu kwa ushauri wako, ila binafsi sioni sense yyte ya kuficha sura yangu.Ficha sura hiyo boss usipende ku expose identity yako Mtandaoni sio Instagram Huku au FB.
Ndo version nayotumia,yaani concern ilikuwa nje kidogo na suala la camera, simu hii ya edge videos kuna zinaonekana vibaya hta za kudownload, kule insta n.k
Kuna muda zinaonesha vizuri kuna mudazinakuwa kma distorted yaani kma low qualityZinakua zinaonekanaje mkuu? Video zina quality nzuri?