Umeua bendi mkuu[emoji2][emoji2][emoji2]
Leta link ya ulipotoa setup ya gcum (source) sio file location kwenye sim yako
Dogo ana redmi 7 kwangu iko poa kwake inazinguaRedmi gani?
Ndio Boss ndio ivo hakuna jinsi ila gcam wanajua kiukweliWote mmeweka version moja na imegoma kwake? Hiyo kesi na redmi 7 si unajua inavyoringa kwenye gcam
Gcam + Light room View attachment 1161303
[/QUhatari
Wote mmeweka version moja na imegoma kwake? Hiyo kesi na redmi 7 si unajua inavyoringa kwenye gcam
Kama ndo basi sio ya kijanja sana.Vipi kwa Iphone una recommendation ipi ni mazuri
Hizo night shot hatar mkuuuMkuu kwa sasa Google Pixel ni tishio kubwa kwa ubora wa kamera. iPhone anaadabishwa tu!View attachment 1162456View attachment 1162458View attachment 1162459View attachment 1162460View attachment 1162462View attachment 1162464
Tatizo simu za huawei hazina fast charging, simu unachaji masaa matatu
Ila kwenye kamera wako vizuri
We mtanga hapo umepiga n simu ganiNight sight nouma mkuu
View attachment 1162618
Ndy kati ya simu nazofanyia loading!Aisee hiyo Google pixel ni nomaa sana
Tatizo bei