kcamp
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 8,517
- 7,984
- Thread starter
- #2,621
Tumia nikita v 2.0Mkuu naomba link ya Poco m3
Chukua yenye maandish mekundu
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumia nikita v 2.0Mkuu naomba link ya Poco m3
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna gcam ya tecno mkuuMimi natumia Techno F1 naomba link ya Google camera
Simu gani hii?Wakubwa Google camera ni kisanga kingine[emoji39]View attachment 1716329
Hakuna mkuu...hii ni kwa android tuHv kuna io Google Camera kwa ajil ya iphone
Gcam iko poa sana. Mpaka selfie yake iko vizuri
Kumbe umeliona hilo mkuu..Gcam iko poa sana. Mpaka selfie yake iko vizuri
Mwanzo ilikuwa inagoma kufungua camera ya mbele ila now iko vizuri. Nimepiga picha ziko poa sana
Aisee enjoy sana mkuu [emoji3]Mwanzo ilikuwa inagoma kufungua camera ya mbele ila now iko vizuri. Nimepiga picha ziko poa sana
Hapana ila kuna gcam go edition ambayo ni ya hizo infinix..sio kali kama gcam yenyew ila ndio mbadalakwa infinix vp inakubali
anha!shukran ngoja nitaiangaliaHapana ila kuna gcam go edition ambayo ni ya hizo infinix..sio kali kama gcam yenyew ila ndio mbadala
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Samahani mkuu, Naomba mwongozo kidogo namie nilipita nayo tu humu link ikakubali kwenye redmi Ila nahisi kwenye settings pia panaweza ongeza ubora wa camera, kuna hizi options hapa je hakuna haja ya kuzichange?Hapana ila kuna gcam go edition ambayo ni ya hizo infinix..sio kali kama gcam yenyew ila ndio mbadala
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Note 5 haisupport mkuuBro nimejaribu kwa Samsung note 5 yangu ila imegoma... imesema not compatible
Ww tu mkuu...unaweza change uone kama kuna improvementSamahani mkuu, Naomba mwongozo kidogo namie nilipita nayo tu humu link ikakubali kwenye redmi Ila nahisi kwenye settings pia panaweza ongeza ubora wa camera, kuna hizi options hapa je hakuna haja ya kuzichange?
View attachment 1727025View attachment 1727026View attachment 1727027
Kama galaxy Note 8 ipo nisaidieWw tu mkuu...unaweza change uone kama kuna improvement
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app