Google pixel zina tatizo la kujizima ghafla?

Google pixel zina tatizo la kujizima ghafla?

Vien

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2020
Posts
6,585
Reaction score
10,363
Wakuu habari zenu,

Nimekuja kwenye hili jukwaa lengo ni kupata ushauri kutoka kwa wataalamu na watu wenye uzoefu na hizi simu za Google pixel.

Nimejichanga nimepata hela kidogo, nataka ninunue google pixel 5a kutokana na specs zake
Ila kuna jamaa yangu Kariakoo anaziuza hizi simu ila kanipa tahadhari kuwa hizi simu siku za karibuni kapokea malalamiko mengi kutoka kwa wateja wake, simu kujizima tuu ghafla, kitu kinachopelekea kuanza kupoteza soko.

Sasa narudi kwenu wanajukwaa hilo tatizo ni common kwa hizi simu? Na linasababishwa na nini?

Nimeanza kupata wasiwasi nafikiria nichukue brand nyingine.
 
Wakuu habari zenu,

Nimekuja kwenye hili jukwaa lengo ni kupata ushauri kutoka kwa wataalamu na watu wenye uzoefu na hizi simu za Google pixel,
Nimejichanga nimepata hela kidogo ,nataka ninunue google pixel 5a kutokana na specs zake
Ila kuna jamaa angu k.koo anaziuza hizi simu ila kanipa taathari kuwa hiz simu siku za karibuni kapokea malalamiko mengi kutoka kwa wateja wake ,simu kujizima tuu ghafla, kitu kinachopelekea kuanza kupoteza soko

Sasa narudi kwenu wanajukwaa hilo tatizo ni common kwa hizi simu? Na linasababishwa na nini?

Nimeanza kupata wasiwasi nafikiria nichukue brand nyingine
Ndgu sina hoja za kitaalam juu ya simu hizi ila nilichoona kwa dogo wangu alinunua zaidi ya tatu na zikamfia mkononi maana mwanzo alichukua used akasema labda tatizo nimechukua simu ya kutumika ikabidi azame shop kwa maelezo yake ila naona kwa hizi zote tatu zilizima gafla na haikuwezekanika kutengeneza amepeleka sehemu mbali mbali hola
 
Wakuu habari zenu,

Nimekuja kwenye hili jukwaa lengo ni kupata ushauri kutoka kwa wataalamu na watu wenye uzoefu na hizi simu za Google pixel.

Nimejichanga nimepata hela kidogo, nataka ninunue google pixel 5a kutokana na specs zake
Ila kuna jamaa yangu Kariakoo anaziuza hizi simu ila kanipa tahadhari kuwa hizi simu siku za karibuni kapokea malalamiko mengi kutoka kwa wateja wake, simu kujizima tuu ghafla, kitu kinachopelekea kuanza kupoteza soko.

Sasa narudi kwenu wanajukwaa hilo tatizo ni common kwa hizi simu? Na linasababishwa na nini?

Nimeanza kupata wasiwasi nafikiria nichukue brand nyingine.
Umenunua sh ngapi kwanza?
 
Wakuu habari zenu,

Nimekuja kwenye hili jukwaa lengo ni kupata ushauri kutoka kwa wataalamu na watu wenye uzoefu na hizi simu za Google pixel.

Nimejichanga nimepata hela kidogo, nataka ninunue google pixel 5a kutokana na specs zake
Ila kuna jamaa yangu Kariakoo anaziuza hizi simu ila kanipa tahadhari kuwa hizi simu siku za karibuni kapokea malalamiko mengi kutoka kwa wateja wake, simu kujizima tuu ghafla, kitu kinachopelekea kuanza kupoteza soko.

Sasa narudi kwenu wanajukwaa hilo tatizo ni common kwa hizi simu? Na linasababishwa na nini?

Nimeanza kupata wasiwasi nafikiria nichukue brand nyingine.
Kama unanunua used basi tegemea hilo tatizo wakati wowote ule.
 
Wakuu habari zenu,

Nimekuja kwenye hili jukwaa lengo ni kupata ushauri kutoka kwa wataalamu na watu wenye uzoefu na hizi simu za Google pixel.

Nimejichanga nimepata hela kidogo, nataka ninunue google pixel 5a kutokana na specs zake
Ila kuna jamaa yangu Kariakoo anaziuza hizi simu ila kanipa tahadhari kuwa hizi simu siku za karibuni kapokea malalamiko mengi kutoka kwa wateja wake, simu kujizima tuu ghafla, kitu kinachopelekea kuanza kupoteza soko.

Sasa narudi kwenu wanajukwaa hilo tatizo ni common kwa hizi simu? Na linasababishwa na nini?

Nimeanza kupata wasiwasi nafikiria nichukue brand nyingine.
Hizo simu used ni chache refurb ni Nyingi mean zinafanyiwa matengenezo kwenye viwanda Vya kufufua simu zilizokufa

That unaweza pata simu Yenye body circuit damage ikaleta Hilo tatizo la kujizima

Mi na 4xl mpaka time hii haijawahi leta longolongo LABDA inategemea amechukulia Dubai.Usa . Or where ,!
 
Hv hizi simu za pixel kwa hapa bongo hakuna supplier anayeziuza mpya?
 
Back
Top Bottom