Vien
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 6,585
- 10,363
Wakuu habari zenu,
Nimekuja kwenye hili jukwaa lengo ni kupata ushauri kutoka kwa wataalamu na watu wenye uzoefu na hizi simu za Google pixel.
Nimejichanga nimepata hela kidogo, nataka ninunue google pixel 5a kutokana na specs zake
Ila kuna jamaa yangu Kariakoo anaziuza hizi simu ila kanipa tahadhari kuwa hizi simu siku za karibuni kapokea malalamiko mengi kutoka kwa wateja wake, simu kujizima tuu ghafla, kitu kinachopelekea kuanza kupoteza soko.
Sasa narudi kwenu wanajukwaa hilo tatizo ni common kwa hizi simu? Na linasababishwa na nini?
Nimeanza kupata wasiwasi nafikiria nichukue brand nyingine.
Nimekuja kwenye hili jukwaa lengo ni kupata ushauri kutoka kwa wataalamu na watu wenye uzoefu na hizi simu za Google pixel.
Nimejichanga nimepata hela kidogo, nataka ninunue google pixel 5a kutokana na specs zake
Ila kuna jamaa yangu Kariakoo anaziuza hizi simu ila kanipa tahadhari kuwa hizi simu siku za karibuni kapokea malalamiko mengi kutoka kwa wateja wake, simu kujizima tuu ghafla, kitu kinachopelekea kuanza kupoteza soko.
Sasa narudi kwenu wanajukwaa hilo tatizo ni common kwa hizi simu? Na linasababishwa na nini?
Nimeanza kupata wasiwasi nafikiria nichukue brand nyingine.