Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ni ishu sugu, nilidhani kwangu tu....ntajarbu kukuwekea ushahidi hapa uone, hizi simu sio. Bora samsung au iphone tu, picha ndio kali ila hazdumu sjui ndio hvo kisa second hand au vipiWakuu habari zenu,
Nimekuja kwenye hili jukwaa lengo ni kupata ushauri kutoka kwa wataalamu na watu wenye uzoefu na hizi simu za Google pixel.
Nimejichanga nimepata hela kidogo, nataka ninunue google pixel 5a kutokana na specs zake
Ila kuna jamaa yangu Kariakoo anaziuza hizi simu ila kanipa tahadhari kuwa hizi simu siku za karibuni kapokea malalamiko mengi kutoka kwa wateja wake, simu kujizima tuu ghafla, kitu kinachopelekea kuanza kupoteza soko.
Sasa narudi kwenu wanajukwaa hilo tatizo ni common kwa hizi simu? Na linasababishwa na nini?
Nimeanza kupata wasiwasi nafikiria nichukue brand nyingine.
Kabisa mkuu, nina litekno tangu 2018 mabak leo linadunda tu....hzo pixel znakuja na kuondoka ila huyu mwamba hatoki tuAcheni Kununua vitu used ni Bora kujipiga ununue hata Tecno mpya
Simu yoyote inaweza kuwa na mauzauza...iphone 15 ina mauzauza ya heating problems...poor backglass durability...achana na mawazo ya ki-isheep.Simu zote za Android ni majanga Mzee , huwa zina mauza uza kibao ndani ya safari...!! Ads nyingi , mara izime , mara istack , mara ichemke yaan full disturbing
Mpaka sasa nilichogundua PIXEL 4XL ndo zinaongoza kuzima nafikiri hii model ina tatizo commonNi huzuni, 4xl yangu imezima Leo asubuhi.
Anaetaka spare anicheki nipo Arusha
[emoji23]go east go west,tecno is the best
😂😂😂 hakuna kuzima simu ni Airplane tuMimi Infinix yangu hii tangu mwaka 2018 mpaka leo haijawahi kuzima nawekaga flight mode tu.
Safi sanaOkay basi huu uzi ubaki kama reference kwa siku za mbeleni
Problem confirmed and discussion closed.Ndgu sina hoja za kitaalam juu ya simu hizi ila nilichoona kwa dogo wangu alinunua zaidi ya tatu na zikamfia mkononi maana mwanzo alichukua used akasema labda tatizo nimechukua simu ya kutumika ikabidi azame shop kwa maelezo yake ila naona kwa hizi zote tatu zilizima gafla na haikuwezekanika kutengeneza amepeleka sehemu mbali mbali hola