1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Simu ni mahaba, google pixel mboana wako vzuri tu, jitahidi upate ufumbuz upate unachotaka,
Ukibadili brand ni kama vile umechaguliwa mke
Ukibadili brand ni kama vile umechaguliwa mke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo matatizo hata kwenye Samsung mbona yapo,kununua simu used ni kama kununua gari used,chochote kinaweza kukutokea,lakini sio kila anayenunua simu used anakutana na hiyo changamoto,wengine zinadumu na hazipati matatizo yoyote....Ilikuw inazima na kuwaka..kama ushawah ku expeeience maji yakigusa kioo cha simu jinsi inavyoweweseka..ilikuw mithili hyo rema hii ilizidi..cz ilikuw inaji reboot kama mara 10 hv na inapata moto..then ukiifosi kuzima inajizima na inatulia
Yangu haikuw used..Nilinunua Mpya..Hayo matatizo hata kwenye Samsung mbona yapo,kununua simu used ni kama kununua gari used,chohote kinaweza kukutokea,lakini sio kila anayenunua simu used anakutana na hiyo changamoto,wengine zinadumu na hazipati matatizo yoyote....
Kama ilikuwa mpya basi ina tatizo tokea kiwandani,na hilo kwa electronic devices sio kitu cha kushangaza,mimi nina jamaa yangu alinunua Samsung A51 mpya dukani na box lake,ndani ya mwezi moja ikazima na kila ikipelekwa kwa fundi inaamka baada ya muda inazima tena,mwishowe akaamua kuachana nayo...Yangu haikuw used..Nilinunua Mpya..
Simu inakwambia Kabisa update is already wewe unaupdate Ili iweje unajaza mavitu mwisho wa siku data simu Ina corrupt inakufami na mpango wa kuchkua weekend hii ila nshaingia hofu hapa
ulichukua mpya au used mkuuMimi Nina pixel 4a 5g mwaka sasa na sioni tatizo lolote ila Kwa uelewa wangu mdogo apo shida sio google pixel Bali shida ni matumizi ya mtu uyo wa kwanzinkabla ya Kuja kwako kama mtumba (xingstua neno mtumba)
Kwamba ikitoka iphone 15,Jombaa hamna simu hapo, achana na huo uchafu labda kama huna matumizi makubwa ya simu, hizo ni simu tunazoita simu Kali Kwa bei rahsi, Kwa vyovyote tuu lazima ikufie Kati Kati ya safari, Mzungu sio Fala, Mimi nasubiri iPhone watangaze toleo la iPhone 15 , nikadake iPhone 14 pro mpya, niachane na swala la simu Kwa miaka mitano mbeleni.
Sijamanisha hvyo Ila malengo yangu ndo hayoKwamba ikitoka iphone 15,
14pro bei itakuwa imeshuka?
Iyo nje pixel ndani Tecno ushapigwa shtuka mkuu😅😅Ni huzuni, 4xl yangu imezima Leo asubuhi.
Anaetaka spare anicheki nipo Arusha
Watu watacheka ila ndio uhalisia, nina infinix yangu mpaka niliamua kugawa sababu kama kuiangusha nishaibwaga sana ila bado inadunda tuMimi Infinix yangu hii tangu mwaka 2018 mpaka leo haijawahi kuzima nawekaga flight mode tu.
Nimeitumia mwaka brother [emoji28][emoji28]Iyo nje pixel ndani Tecno ushapigwa shtuka mkuu[emoji28][emoji28]