Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtifuano ulikuwa wa kukata na shoka na mkutano ukaishia hapoWaliyatoa kweli au ndo walimwambie mwenye kamera cut off..[emoji1787]
Basi huna pepo baya..labda lile la kunyanduka tuu...ambalo kimsingi ndio asili[emoji23][emoji1787][emoji1787] Heri mie sinaga kesi na watumishi wa Mungu..
Sisi sote-bonny mwaitege
Barikiwa zaidi
God Will make a way-Don Moen
Awesome God(Live)-Mark Lowry, Marshall Hall
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Imetulia Sana hii yaniEeh Bwana uniinue.. Kwa imani nisimame
Nipande milima yote eeh Bwana unipandishe ..
Nisikae duniani ni mahali pa shetani
Natazamia mbinguni eeh Bwana unitazame...![emoji2827][emoji2827][emoji2827]
Pepo la kunyanduana shindwa! Mtoke KENZY Umuingieee....[emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji848][emoji848].. Taja unayemtaka liende kwake[emoji23][emoji23] Umeanza hebu kwanza nitupie maombi kiduchu najisikia kuombewa psychologically am not okay nasubiri fire...
[emoji1548][emoji1548][emoji1548][emoji1545][emoji817][emoji736]Imetulia Sana hii yani